Habari wakuu wa hili jukwaa,
Nina capital ya laki tano mbali na usafiri (Mwanza-Dodoma) malazi na and dharura nahitaji kufanya biashara ya sato waliokaangwa kutoa mwanza kupeleka Dodoma sina mtaji mkubwa wa kuhandle cost za freezer na frame ndiyo maana nafikiria kuuza hao Sato waliokwisha...
Asante kwa kunipa tahadhari na nakuahidi kuanzia kesho ntafanyia kazi ulichoniambia na nikikwama somewhere ntakutafuta kwa ushauri zaidi brother,Ubarikiwe sana.
Nashuru kiongozi wangu thou bado cjafanya mlinganisho wa bei ila naskia UG vitu vipo chini all in all ntaufanyia kazi ushauri wako ili kujiridhisha kwanza,THANKS AGAIN
Wakuu poleni na majukumu.
Naomba ushauri juu ya hii biashara ya vipodozi kwa mtaji wa 1milion nna frame tayari,kwa huo mtaji unatosha kuendeshea iyo biashara.Nnipo geita na nafikiria bidhaa kuifata Uganda kwa wana Jamii forums walioenda Uganda vipi upatikanaji wa vipodozi na bei yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.