Habari zenu wakuu,
Kina baba tunajua mnapenda sana watoto sio kama kipindi cha nyuma lakini yahitaji uvumilivu na subira pia imekuwa ukiona miezi tu hakuna dalili mnaanza visa na maneno ya kejeli na dharau ndani ya nyumba.
Nimeshindwa namshauri vipi rafiki yangu wanajamvi mnisaidie ana...
Mie sikuwa na mda wa kushika simu yake hata kidogo lakin yako itachunguzwa mpk calls za cku nzma umeongea na nani sas mtu kama uyu kwa na wew usishike yake uyaone mazur yake
Habari zenu wakuu,
Hii kauli ya mlango upo wazi, Kwa nini wanaume mnaipenda sana mie kwa upande wangu uwa naichukulia kama unyanyasaji.
Unakuta mmegombana kidogo ambacho ni kitu cha kawaida katika mapenzi, unaambiwa mlango upo wazi ukiona umechoka unaweza kwenda.
Dah, swali langu hivi mtu...
Mapenz yana uma san jamn mie nilisalitiwa mara tatu ten alikuwa anawachkua rfk zangu tu yan nilikuwa nasamehe uku siamin km nmesamehe lkn nilisahau na maisha yanaendelea nililia san mpk akabadlika tupo mpk sas mwka wa 4 lkn sitaki tena mashoga ni bora usalitiwe na mtu wa mbali wa karbu inauma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.