ni mgeni ktk ukurasa huu yapata wiki moja sasa,najua vichache mengi nategemea kutoka kwa wadau wakongwe msisite kunambia pale ninapokwenda kinyume,nitawapa ushirikiano kamili
nilikuwa shule ya msingi kichiwa mwlim wa hisabati ndo alikuwa analeta fimbo nyingi kiasi hicho cmtaji kwa jina japo ye na jua hajajiunga na mindao ya kijamii.
umenivutia sana nimependa sana nimefurahi sana umenikosha sana yaan we acha tu,nakula matembele kila siku kisa bajeti ninampango wa kukamilisha jengo langu so bajeti yangu imekuwa chungu sana,amini tutakutana kwenye matumizi wakati mwingine.
ndugu cha msingi na cha maana ni kurudisha huyo mtoto ambaye ndo imekuwa kero vinginevyo utajikuta ndoa inakuwa matatani bila sababu wema utakuponza,wengi tunaangamia kwa sababu ya huruma na wema.
mi ni mwanafunzi chuo kimoja hapa nchini nachukua shahada ya ualimu,maisha yangu yanchangamoto kidogo,kwanza nasoma ualimu ambao mi binafsi sipendi na sina wito kabisa ila sababu inayonifanya nisome ualimu ni umaskini sasa napata ugum ni vipi nitawasaidia watoto kipindi nikipata ajira maana...
hakika ndo hali halisi mtoto wa leo siosawa na wazamani,hadi walimu wa waleo wanaitwa walimu wa google vilevile wanafunzi wa google,je tutafikia malengo na mipango mizuri aliyotuachia mwalim?
wanamatata na hatari sana ccm bila ubabe madaraka hawana,tukonyuma ya pazia chadema tunakuja mkiua mmoja kumi wanaongezeka mkijeruhi watano wanaongezeka kazi kwenu rangi ya kijani ulimwengu sio wenu,pigeni saruti mikono juu...............
ni utapeli wa watu sio na uzalendo na wenzao,ila mambo mengine inakuwa uzembe kwanini utume kwa njia ya simu hapo lazima uhakikishe umefika ofisini kwao uone kama kweli au la,tusikubali maelezo ya simu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.