Uspika ni tofauti na urais,naamini kamwe hawawezi kufanya hivyo,labda tu wanataka kutuletea Joys Banda mwingine,kumbuka kuns makabila ambayo hayakubali kutawaliwa na mwanamke,mfano wakurya na wamasai ni makabila yasiyoamini kwa wanawake,na hapa si kuweka mwanawake tu!hata ccm wakileta mzanzibar...