Wanyama pekee ndio hawana dini cause ni hayawani..na asiye na dini ni kama mnyama..hao unaosema hawana dini wana sherehe zao za ajabu ajabu mfano china wana mwaka mpya wao wanausherehekea zaidi ya simu mbili...hao walioendelea wenyewe wanazisharehekea sembuse north korea...
Ni asilimia ngapi ya mashabiki wa sanaa wana access ya hizo appl au network. It's less than 10% ya mashabiki wa sanaaa...kwa hiyo radio zikigoma watapoteza about 90% ya mashabiki ....nani hapo atapotea..?
Hapana kaongea ukweli mtupuuu...soko letu bado sana kufikia hapo...wasanii wetu wanategemea show pekee....lazima kwanza uweke mfumo thabiti wa hii biashara na iwe na faida kubwa ...ndipo hapo utaweza bana vyombo vya habari
Hili swala si la kurukia kichwa kichwa aisee...litaua muziki na kazi za wasaniii...njia pekee na nzuri ya kufanya promotion nyimbo za wasaniii ni kupigia radio na TV..
Sasa unaposema waanze walipa wasaniii..maswali ya kujiuliza ni je soko letu limefikia hatua hiyo? Je radio zina uwezo wa...
Hakuna lolote..kila kitu kiko wazi kwamba mwaka huu mmesaidiwa ingia ikulu kwa vyombo vyooote vya usalama...lla ukweli ni kwamba alowasa alishinda na hata ccm mnajua hilo..kama si marope cheza michezo na police kuvamia vijana wetu na kuwasingizia kwamba wanaingilia mawasiliano ya tupe..ccm...
Rafiki wa ccm ni ujinga..na bahati nzuri kaskazn tuliufuta ujinga kitamboooo kirefu...jaribu hebu taja mikoa minne iliyoendelea hap tz kama hutotaja mikoa ya ksk...hebu taja mikoa yenye umasikini na hali mbaya ya kiuchumi kama hutotaja ile mikoa ccm ilishinda kwa 100%...rafiki wa ccm ni ujinga...
Na akiendeleea kuongea watu watakuja na ushahidi ..ni bora akae kimya alinde walau kaheshima kadogo alikobakiwa nako...na kila siku nasema sijutii kumpigia kura lowasa..maana najua hata magufuli naamini kuna watu hatoweza wagusa..haswa d former first family members
Kama mzazi wako alinipeleka shule basi napoteza fedha zake..naona magufuli kawashika pabaya..yaani unataka manji aendelee kuchekewa kisa ana fedha...
Ukweli ni kwamba sheria zipo zinazozuia uwekezaji maeneo ya wazi kwa matumizi ya raia wote..ukifwatilia ya manji utagundua uozo na rushwa kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.