Jay Moe aonyesha utu uzima dawa katika hili game

Muuza Sura

JF-Expert Member
Aug 1, 2011
1,985
1,345
baada ya muda mrefu wa kusikilizishwa ngoma za uongo uongo za hip hop,makelele ya vichwa vya habari,vina vya kulazimisha,punch lines za kuunga unga,mistari ya kama kama mia tisa katika verse moja!hatimaye juma mchopanga,ukipenda muite jay moe au mo technic kaamua kuyaokoa masikio yetu toka utumwani kwa kudondosha jiwe moja la adabu!ngoma inaitwa hili game,mkono wa mdutch p funk majani!kwa wapenda vitu vizuri fanyeni kulisaka hilo pin mpate kuyatendea haki masikio yenu
 
Lirushie bhas mkuu au twende mkito. Jay moe namuelewa ila nimemiss hardcore hiphop ya tz.....mabovuuu.
 
Itupieni humu basi..yaani kwa upande wangu mm..huyu jamaa na fid ni undisputed..kisha hao wengine ndio waanze gombea moja hadi mwisho...
 
Hip hop ya kisasa ni nzuri kama ikienda na burudani. Yaani ni kama Reggae music kwa sasa. Rege ya kzamani ilikuwa ni Msg zaidi but now ni msg + burudani zaidi.

Jay moe anajua sana but burudani inamkwamisha! Fid pia anajua sana but naye burudani inamkwamisha. Ni lazma tukubali kubadilika, tufanye music unaokubalika kwa sasa street, Hongera kwa Joh Makini kwa kuusoma mchezo. Joh hajatoka mazima kwenye Hip hop lakini amejiongeza kidogo na kwangu mimi ndiye mwana Hip hop anayebamba kwa wakati huu kibongobongo!!

Msg sawa lakini na burudani pia, labda kama unafanya music kama DINI lakini kama music ni kazi yako na biashara yako kujiongeza sawasawa na soko ni lazma na muhimu!!

Nimefurahishwa na Jahfarai kubadilika kidogo kwa track yake mpya aliyofanya na Cassim mganga, fresh sana!!

Jiongezeni wana Hip hop wangu Jay moe, kala pina, Prof J, Sugu, LWP majitu, na weengi niwapendao
 
Hip hop ya kisasa ni nzuri kama ikienda na burudani. Yaani ni kama Reggae music kwa sasa. Rege ya kzamani ilikuwa ni Msg zaidi but now ni msg + burudani zaidi.

Jay moe anajua sana but burudani inamkwamisha! Fid pia anajua sana but naye burudani inamkwamisha. Ni lazma tukubali kubadilika, tufanye music unaokubalika kwa sasa street, Hongera kwa Joh Makini kwa kuusoma mchezo. Joh hajatoka mazima kwenye Hip hop lakini amejiongeza kidogo na kwangu mimi ndiye mwana Hip hop anayebamba kwa wakati huu kibongobongo!!

Msg sawa lakini na burudani pia, labda kama unafanya music kama DINI lakini kama music ni kazi yako na biashara yako kujiongeza sawasawa na soko ni lazma na muhimu!!

Nimefurahishwa na Jahfarai kubadilika kidogo kwa track yake mpya aliyofanya na Cassim mganga, fresh sana!!

Jiongezeni wana Hip hop wangu Jay moe, kala pina, Prof J, Sugu, LWP majitu, na weengi niwapendao

...wengine kwetu 'burudani' ni kupata vitu conscious vya kufikirisha ubongo!
 
...wengine kwetu 'burudani' ni kupata vitu conscious vya kufikirisha ubongo!

Na ndio mnaowafanya jamaa zetu hawa wakosewe heshma hata na watoto wadogo kama kina Yamoto Band!!

Kama wanafanya Hiphop kama dini ni vizuri wakaendelea na maBeat yao ya kigumu kutoka kwa P~phunk but kama music ni maisha na biashara ni lazma waangalie upya namna ya kukuza hii biashara yao!!
 
Na ndio mnaowafanya jamaa zetu hawa wakosewe heshma hata na watoto wadogo kama kina Yamoto Band!!

Kama wanafanya Hiphop kama dini ni vizuri wakaendelea na maBeat yao ya kigumu kutoka kwa P~phunk but kama music ni maisha na biashara ni lazma waangalie upya namna ya kukuza hii biashara yao!!

teh teh teh....unachanganya desa!...sijui maksudi,mahaba au huelewi unachosimamia!
 
baada ya muda mrefu wa kusikilizishwa ngoma za uongo uongo za hip hop,makelele ya vichwa vya habari,vina vya kulazimisha,punch lines za kuunga unga,mistari ya kama kama mia tisa katika verse moja!hatimaye juma mchopanga,ukipenda muite jay moe au mo technic kaamua kuyaokoa masikio yetu toka utumwani kwa kudondosha jiwe moja la adabu!ngoma inaitwa hili game,mkono wa mdutch p funk majani!kwa wapenda vitu vizuri fanyeni kulisaka hilo pin mpate kuyatendea haki masikio yenu

Jay moe a.ka mawazo hajawahi kukosea na hajui kukosea kwenye kutoa ngoma za hiphop zilizoshiba....kutoka kama unataka demu,maisha ya boarding,girl friend,tingisha,cheza kwa step,kimya kimya,famous, mpaka sasa hili game....daaah hatari sana huyu mtu sema tu ndo hivyo tena.
 
Hip hop ya kisasa ni nzuri kama ikienda na burudani. Yaani ni kama Reggae music kwa sasa. Rege ya kzamani ilikuwa ni Msg zaidi but now ni msg + burudani zaidi.

Jay moe anajua sana but burudani inamkwamisha! Fid pia anajua sana but naye burudani inamkwamisha. Ni lazma tukubali kubadilika, tufanye music unaokubalika kwa sasa street, Hongera kwa Joh Makini kwa kuusoma mchezo. Joh hajatoka mazima kwenye Hip hop lakini amejiongeza kidogo na kwangu mimi ndiye mwana Hip hop anayebamba kwa wakati huu kibongobongo!!

Msg sawa lakini na burudani pia, labda kama unafanya music kama DINI lakini kama music ni kazi yako na biashara yako kujiongeza sawasawa na soko ni lazma na muhimu!!

Nimefurahishwa na Jahfarai kubadilika kidogo kwa track yake mpya aliyofanya na Cassim mganga, fresh sana!!

Jiongezeni wana Hip hop wangu Jay moe, kala pina, Prof J, Sugu, LWP majitu, na weengi niwapendao

Kumbe Jaffarai ana mashabiki.
 
Kumbe Jaffarai ana mashabiki.

Jaffarai bingwa wa kubebwa na vibwagizo. ..Jaffarai kabadikika kwajili ya mainstream ila Jay moe anafanya mainstream ibadilike kwajili yake. ..kubaki katika misingi kuna faida yake. ..mcheck kalapina alivyobadilishwa na mainstream leo yupo wapi. ..
 
Na ndio mnaowafanya jamaa zetu hawa wakosewe heshma hata na watoto wadogo kama kina Yamoto Band!!

Kama wanafanya Hiphop kama dini ni vizuri wakaendelea na maBeat yao ya kigumu kutoka kwa P~phunk but kama music ni maisha na biashara ni lazma waangalie upya namna ya kukuza hii biashara yao!!

Huwezi kujua heshima anayoijenga kwakuwa unaangalia leo na nyie ndo mnafanya watoto kama izzo bizness kila mwezi watoe nyimbo mbili mpaka tatu. ...sugu na prof j wapo walipo kwa kusimamia misingi ya game waliokuwa wakifanya na hizo ndo njia mchopanga anapita
 
Hivi Roma amepotelea wapi mana ata kwenye mitandao haonekani longtime sana ama washamchinja na kumtupa daraja la mkapa
 
"Game gani ya kuiga wapopo na wa-South mbona wao hawatuigi"-Juma Mchopanga.
Acha na hawa fake mcee ambao wanaunga unga mistari na blah blah lundo na joint za kibata alafu wanakimbilia kufanya kichupa cha mpunga mwingi ili kuipa nguvu track uyu Juma anajua jamani,namuelewa sana Deddy ila nahisi umu kakomozwa dizaini mtumbwi umepelekwa kwenye kina kirefu cha bahari,production iko poa ila iko wazi industry iko corrupted kiasi kwamba hawa FM bila mpunga lazima wazibe masikio all in all welcome back LEGENDS huu muziki bado mnaudai.
 
Nimeiskiza ni ngoma kali. Japo haijafika viwango vya Jay moe. Tusubirie na mzigo wa Mwana FA asanteni kwa kuja.. Beat kafanya Hermy B, FA anakwambia vita kwa vina kumaaanina au twende bank.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom