Recent content by kibwengomfupi

  1. K

    JamiiForums Tanzania Rais Hussein Mwinyi ataiunganisha Zanzibar na Bara

    Kamwambie mama yako upuzi huu pumbavu wewe.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Mchakato wa kuwatoa Masheikh na Waislamu magerezani

    Naheshimu mawazi yakpo. Lakn vyovyote v vile, wapelekeni mahakamni ili mawakili wao wakapambane kwa hoja kuliko kuendelea kuwashiukilia magerezani. kinyume ni kuwanyima haki kama binadamu.
  3. K

    JamiiForums Tanzania Mchakato wa kuwatoa Masheikh na Waislamu magerezani

    Kaka Tuhuma ya masehehe wa uamsho ni kuchapuza muungano utende haki, si vyenginevyo. Walikuwa wakikosoa namna ya uendeshaji mbaya wa muungano wetu huu. Kwa vile muungani unachukuliwa na watu tanganyika kama roho , pumzi na uhai, basi wamepewa kesi ya uonevu kabisa ya ugaidi na wakati miaka...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Mchakato wa kuwatoa Masheikh na Waislamu magerezani

    Kaka BAKWATA ni wangese sana. Mie ni mwislamu kwa kiuzaliwa na vitendo lakn kwa taasisi ile kaka bora nikale kito moto kuliko kuwaamini bakwata. Kuna shule za kiislamu zinachomwa moto wao ndo kwanza wanaimba mapambio ya kuisifu CCM ,kuna masheikh wa UAMSHO mwaka wa tisa sasa jela hata...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Hamad Masoud Hamad wa ACT-Wazalendo aliyedaiwa kutekwa, afikishwa Kituo cha Polisi

    Allah awalani CCM na awape ajali mbaya
  6. K

    JamiiForums Tanzania GE2020 Zanzibar: Askari wanaolinda usalama wa watu na mali zao, washambuliwa kwa Mawe!

    kama kaapa kuuwa kwa risasi ajitayarishe kupelekwa ICJ inamsubiri. Hatutaki muungano simple. aende zake khanithi huyo
  7. K

    JamiiForums Tanzania GE2020 Zanzibar: Askari wanaolinda usalama wa watu na mali zao, washambuliwa kwa Mawe!

    Safi sana. Wenzetu diaspora tuungeni mkono. Nchi yangu zanzibar.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Binadamu hapaswi kutawala, anaongoza

    Huu ni utawala badala ya kuongoza. White colonialism was far better kuliko huu balck man colonialism. kinachoendelea tz sasa ni dola kuwatawala wananchi wake badala ya kuwaongoza.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza Magufuli: Hakuchukua hatua kwa waliohusika na mauaji, watekaji na waliopotezwa

    Umetahiriwa wewe? Unanuka ushuzi
  10. K

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza Magufuli: Hakuchukua hatua kwa waliohusika na mauaji, watekaji na waliopotezwa

    Wallah , this is one of the scholarly article of the year. Very informative and educational. Keep it up brother.
  11. K

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza Magufuli: Hakuchukua hatua kwa waliohusika na mauaji, watekaji na waliopotezwa

    Nafikiri hajui kama mauaji, utekaji na mambo mengine yanawaumiza watanzania. naamini kwa dhati kabisa ndani ya CCM kuna watu great minds, with rational thinking lakn hawajafurahishwa na matukio hayo ya utekaji,kujeruhi, na kuuwawa. hawana budi na wanaogopa kuyasema wakiwa ndani ya chama chao.
  12. K

    JamiiForums Tanzania GE2020 Halima Mdee: Natuhumiwa kumchonganisha Gwajima na madhehebu mengine na waumini wake

    Usikate tamaa Halima. alisema Gwejima kuwa madrasa zote ktk kawe angezibadilisha kuwa Sunday school. Hapo hujamdhalilisha kwani mwenyewe Gwejima alisema kwa kinywa chake. Kaza Spana Halima. Hakuna kurudi nyuma. Keep it up. Unafanya vizuri
  13. K

    JamiiForums Tanzania BAKWATA Mkoani Mtwara yatangaza kumuunga mkono Mgombea Urais wa CCM ili awe Rais kwa awamu nyingine

    Mimi ni muislamu mzuri tu very punctual kwa sala tano lkn kwa hili Mungu awape laana ya milele BAKWATA kuunga mkono CCM. cku zote BAKWATA wakiambiwa kuwa ni tawi la CCM wanakataa. washenzi hawa. Allah awape laana ya milele watu hawa wote. Hivyo kweli hawaoni masheikh wa UAMSHO na masheikh...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Dr. Vicensia Shule, Mhadhiri aliyeandika ujumbe wa wazi kwa Rais Magufuli ahojiwa na Kamati ya Maadili UDSM

    wengine tunao watoto wetu mabinti vyuoni . hakika kma mzazi inauma sana mwanao kudhalilishwa kingono akiwa chuoni. mamlaka zinazohusuka zichukue hatua haraka kukomesha uovu huu na watakaobainika wafukuzwe kazi mara maoja.
  15. K

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tundu Lissu asema ataendelea na Kampeni. Adai Sheria ya Maadili imevunjwa kumsimamisha Kampeni

    Peleka kwanza kwa mama yako na babayo. Pumbavu wahid
Back
Top Bottom