kibwengomfupi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 675
- 674
Mimi ni muislamu mzuri tu very punctual kwa sala tano lkn kwa hili Mungu awape laana ya milele BAKWATA kuunga mkono CCM. cku zote BAKWATA wakiambiwa kuwa ni tawi la CCM wanakataa. washenzi hawa.BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Wilaya ya Mtwara Mjini limetoa tamko na kuomba dua kwa Rais John Magufuli.
Tamko walilotoa ni kumuunga mkono achaguliwe kuwa Rais kwa awamu nyingine ili aweze kuiongoza nchi....
Allah awape laana ya milele watu hawa wote. Hivyo kweli hawaoni masheikh wa UAMSHO na masheikh wengine wanavyooza jela bila ya sababu yoyote wamekaa kimya kama makhanithi wapevu.
ALLAH isikilize dua yangu uwalaani BAKWATA wote iwe mtwara ama makao makuu. UAMSHO wanaoza jela kwa dhulma , shyule za kiislamu zinachoma moto na wahuni wala hujawasikia BAKWATA wakalani. To hell.