Recent content by Kibwagizo

  1. Kibwagizo

    Kwa Hoja naona wa Serikali mbili maji shingoni

    JAMANI naskia hotuba ya Lisu kesho inarudiwa!!!
  2. Kibwagizo

    Masada jinsi ya ku-install new version Apps katika old iOS version

    Shukrani ngoja nijaribu.Ila sina uzoefu na ku-update iphone,nahofia risk
  3. Kibwagizo

    Masada jinsi ya ku-install new version Apps katika old iOS version

    Shukrani kaka, ila kama kampuni ya Apple ndo wanafanya hivyo wanakosea ,yaani ios ya simu yako ikipitwa muda unatupa duh!!! Mbona Android hatuoni kitu kama hicho.apps ndo inabadilika version ila os ya simu haubadilishi hata pc hivyo hivyo
  4. Kibwagizo

    Masada jinsi ya ku-install new version Apps katika old iOS version

    Nimekuwa nikitumia Apple iPhone 3g kwa muda sasa.sasa nimehitaji kuweka application ya Jf na nyimginezo inagoma ikisema os ni yazamani yaani ni 4.1 na inatakiwa niwe na version zaidi ya hiyo( new version). 1.Masada wenu Kama kuna njia ya kuweka old apps Au ku-update ios( njia iliyo salama)...
  5. Kibwagizo

    msaada kurudisha contacts katika simu

    chief nashukuru ni c3, hivyo chief unasema unanishauri simu niwe naifanyia backup mapema! nipe maujanja nitakavyo fanya nisije patwa na tatizo kama hili tena.
  6. Kibwagizo

    msaada kurudisha contacts katika simu

    nashukuru kwa.mchango wako, simu ni c3,
  7. Kibwagizo

    msaada kurudisha contacts katika simu

    aksante mkuu, sasa hiyo recover unainstall kwenye simu au katika computer unaconnect simu.
  8. Kibwagizo

    msaada kurudisha contacts katika simu

    nikitambua jf ilivyo jungu kuu, naombeni msaada niweze kurudisha contacts zangu.hii ni baada ya kufanya hardreset na mtu ambaye nilikuwa nimemuachia. help pls.
  9. Kibwagizo

    Line ya M-Pesa Tsh Laki moja tu

    Mkuu hiyo line unaiuza pamoja na second sim yake?
  10. Kibwagizo

    Aua naye kauawa

    Inasemekana kijana amekuwa muhudumu katika mgahawa maeneo yale. mahuti yamemkuta nje ya mgahawa akiwa kwenye shughuli yake ya kusambaza chai kwa wateja wa nje na mgahawa gafra akakutana na huyo chizi ameshikilia kisu ndipo akaanza kumchoma visu sehemu mbali mbali za mwili wake.
  11. Kibwagizo

    Aua naye kauawa

    mtu anayesadikika kuwa mweu amemuua kijana kwa kumchoma visu mjini Mwanza jirani na msikiti wa Ijumaa,kutokana na hasira za nzengo naye kapigwa mpaka kauawa.Tuki hili limetokea majira ya saa 9:15 Source:mimi mwenyewe
  12. Kibwagizo

    Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

    Ninachoamini postal code unaweka box ya posta na country code ni +255...
  13. Kibwagizo

    Ni kiwewe, woga na kutojiamini: CHADEMA kumlalamikia BALOZI na kumwacha SHIBUDA

    Sasa wewe tandaleone kati ya suala la SHIBUDA na la BALOZI WA CHINA ni lipi lenye maslai ya taifa? Jamani tuache kujishusha.CCM ni watu wanapenda kucheza na akili ya watz ukiwemo wewe,kwa akili yao wanaona kwa kuwa China imeendea kwa kiwango kikubwa na ndo inayoonekana kutoa vitu kwa bei ndogo...
Back
Top Bottom