Recent content by Kibuzimzinga

  1. K

    Dereva Bajaji ana Maisha Mazuri Kuliko Watumishi wa Umma

    Achana na utumishi wa umma ukaendeshe Bajaji
  2. K

    Godbless Lema: Nilimpigia Kikwete baada ya Magufuli kuondoka, nilimwambia aongee na Mama nataka kurudi

    Aibu yake, mwanamume asiye na kifua cha kutunza siri.... Iwapo mlikubaliana kwa nini anavunja ahadi....???!!!
  3. K

    Mwamposa huyu Muumini wako wa leo hukumpanga vizuri hadi Akakuaibisha kwa Uongo hadi Wewe ukashtuka?

    Hii inataka mtu mwenye akili kubwa kama wewe kutambua. Kongole Mpwa
  4. K

    Mawakala wa ugaidi wabainika Zanzibar, mafundisho ya madrasa kufuatiliwa

    Wislamu ni dini ya amani, wanao fundisha vijana ugaidi kwa mwamvuli wa dini wana ajenda zao binafsi
  5. K

    Mliofiwa na wazazi (mama), mliwezaje kuvuka kipindi hiki?

    Tuna zowea lakini hatusahau. Pole ndugu yangu
  6. K

    Jua kesho tarehe 21 Machi litaingia Ikweta, Masika kuanza

    Hongera Robert, geography hii nilifunzwa mwaka 1971, na mwalimu wangu Mrs. Lobbo
  7. K

    36 wajitokeza kuuza figo Hospitali ya Taifa Muhimbili

    Hii deal imekaa poa, ajuaye bei naomba anijuze
Back
Top Bottom