Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 10,323
- 6,848
Unajua watu wengi huwa wanadhani kuwa hujuma kwa nchi mpaka tu mtu aisababishie nchi hasara kubwa ya kifedha au apange shambulio la ajabu; siyo kweli!Mkuu hawezi kuiacha hiyo nafasi labda aikatae na aondoke nchini, vinginevyo ataonekana msaliti na anataka kuleta taharuki.
So huyu ndg kesho atavaa kaunda suite yake ya brown au nyeusi na ataenda kula kiapo mapema sana.
Although nitasikitishwa endapo kapewa hiyo nafasi ili kumfunga mdomo na baadaye kumtupa nje kisiasa, itakuwa nia ile ile ya kuwavunja miguu omba omba wakati huna uwezo wa kuwapa msaada.