Recent content by kiburi

  1. K

    Msaada bei ya pikipiki

    Tvs na boxer habari ya mjini Niushauri tu lakin
  2. K

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Nauza friji2 show case @700000/= jumla 1400000/= zina VAT receipt nilizinunua mwaka jana 2016 mwezi wa4. Nachange business ndiomana naziuza zipo salama kabisa Nipo mtoni mtongani napatikana kwa 0654411800.
  3. K

    Mafriji used yanauzwa

    Habari wana jmf. Nauza commercial fridge2 boss na bruhm ni show case nakila moja inabeba lita450 za bidhaa, friji nilizinunua dukan mwakajana 2016 mwezi wa 4 zikiwa mpya na zote zina VAT receipt, Hazina tatizo lolote tangu nizitumie dukani kwa miezi7 sasa, naziuza zote mbili kwapamoja kwajumla...
  4. K

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Habari wana jfm Nauza friji zangu 2 zote ni show case(zenye vioo) moja ni bruhm na boss zinabeba lita 450 za bidhaa. Nilizinunua dukani zikiwampya kwajumla ya 2200000/= nazina VAT risiti (za TRA) saizi naziuza kwa sh.1400,000/= yani @700,000/=. Zote ni nzima hazina tatizo lolote ila biashara...
  5. K

    Ajali pikipiki aina ya Boxer na gari aina ya taxi zimegongana

    Mwalimu wetu anaitwa mwalimu ticha
  6. K

    Je Boxer bm.150 ndo pikipiki yenye nguvu kuliko Toyo? 150?

    Hiko ni kiEnglish ila tatizo umekisoma bila kuvaa miwani:D
  7. K

    Biashara ya boda boda

    Kweli aisee midume sikuizi inabagua alafu wenzetu wao wanapiga tu kaxziyeyote. Unataka pesa alafu unaogopa changamoto duh!! hii kali, sasa nini maana ya fanya kazi ule? Ila tunawashukuru mzidi kuogopa alafu wengine tuzidi kupigatu mkwanja.
  8. K

    Ni pikipiki gani nzuri kwa biashara ya Bodaboda?

    Kwa sasa tunashukuru dharau zimepungua kwakuwa graduate wengi wapo ktk biashara ndogo ndogo hata za machinga na wengine misingiyao nafuu wapo ktk bajaji na bodaboda baada ya ajira kukosekana. Tatizo nikwamba kadri wasomi wanavyoongezeka ndivyo ajira zinavyo pungua na maendeleo ya sayansi...
  9. K

    Ni pikipiki gani nzuri kwa biashara ya Bodaboda?

    Hzanzibar ASP.....umeongea mambo mazurisana juu ya bodaboda ila unaposema pikipiki zenye spare nafuu na imara hapo sikuelewi hata kidogo bz bei kuwajuu ni matokeo ya uimara wa spare yenyewe, pia unapoigusa boxer alafu ukasema haina nguvu ya kubeba mzigo mzito lazima utafiti menu zake uzisome...
  10. K

    Dawa ya kiburi jeuri..

    Acheni kuzingua DAWA YA JEURI ni KIBURI;)
  11. K

    Biashara ya Kuonesha Mpira wa Miguu (Kibanda-umiza): Fahamu Kiasi cha Mtaji, Vifaa na Mbinu za Uendeshaji

    Iyo biashara ikopoa sana kwa uswazi,kikubwa miundombinu iweke fresh,viti vya plastik,jenga ukumbi mkubwa,feni za kutosha,stage iwe pana,vyoo, madirisha ya kutosha ukiweza weka kioo timtedi ili projector ioneshe vyema, vuta kafriji kako ka vinywaji na night wauza kahawa usiwatose
Back
Top Bottom