Tatizo letu wengi wetu tunapenda kupotosha ukweli kwa mapenzi yetu ktk vyama tunavyovipenda na hili ndilo tatizo kubwa linalokuja kutuleta taabu baadae baada ya matokeo kutangazwa mnasingizia mmeibiwa kura kutokana na hizi propaganda zenu mnazozianzisha mapema.
Acheni siasa za maji taka kutaka kumkingia kifua huyu Rose Kamili kwa kuweka tafakari ya ujanja ujanja waliomkamata watatoa ushaidi wao kunakohusika ndio ukweli utajulikana. Na hao vijana wawili wa Arusha waliokutwa na silaha za jadi leo nao weka tafakari kupotosha uma kwani siasa haiwezekani...
Hakuna kudanganyana kwenye hili hizo propaganda zako Lema unasahau wewe ndiye kinara wa kupiga wenzio hata kwenye vikao vya ndani vya chama chako? Kipi mh. Rais alichoongeza zaidi ya kuwataka wanachama wake wajikinge na upumbavu wako na Msigwa wakati wa kudanganywa umekwisha.Hatutakubali mtupige...
Huu upuuzi haujadiliki wala huyo Nassari si mwaminifu alijua fika kuwa anatakiwa kwenda jimboni kwake kuonana na wanachi wa jimbo lake kwenye harambee maalumu iliyoandaliwa muda mrefu.Iweje akubali kuchukua posho ya kwenda nje ya nchi wakati anashughuli nyingine? Ni mwizi kama wengine...
Propaganda huwa zina misho wake hakuna asiyejua kuwa Kigoma kuna vurugu toka Mheshiwa Zitto avuliwe nyadhifa alozokuwa nazo ndani ya CDM.Suala hili limewagawa watu hapa Kigoma
1.Wanaounga mkono Zitto kuvuliwa nyadhifa alizokuwa nazo wanaonekana si wazalendo hawana uchungu na mkoa wa Kigoma na si...
Acha uongo wewe hujengi unabomoa Chama ongea tatizo litatuliwe.Propaganda hazina nafasi yale maandamano na mabango hukuyaona ulikuwa kipofu wa muda haya endelea kuwajaza ujinga ili upate ujira wako ila iko siku historia itakuhukumu.
Vigezo gani umetumia maana watu wa Kigoma ni ndoto kumpokea Dr. Slaa watakuwa wamejitukana maana Dr.Slaa na kundi lake la wala ruzuku za CDM ni maadui wa wananchi wa Kigoma na ndio maana hata vijana wao waliowatuma kuja kuwachunguza wana Kigoma na kujenga hoja za kuhalalisha maamuzi ya kamati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.