Leo tena nimerudi kuleta andiko langu kuhusu Cashless itakavyoongeza pato la Taifa.
Kwa hali ilivyo nchini kwetu hakuna kitu kinachotuzuia kuachana na matumizi ya fedha Taslimu kwenye malipo mbalimbali. Ili serikali ikusanye mapato vizuri inabidi kulazimisha wafanya biashara wote na makampuni...
Sisi Tanzania kutokuwa na umeme tunajitakia, kuna jamaa yuko humuhumu Dar anaweza kufua umeme kwa kutumia sumaku tu anaziunganisha kwa kutumia maarifa fulani.
Kuna kiongozi mmoja kutoka wizara ya nishati aliambatana na maafisa wa Tanesco akauona na wakaupima akasema " ma injinia wa Tanesco hapa...
Nashukuru sana kupata nafasi ya kushiriki kwenye Stories of change.
Nimekuwa nikitoa maoni yangu kwenye mtandao wa X kwamba Serikali inaonaje kama ingeshusha ushuru wa kuagiza bidhaa toka nje ya Tanzania. Hapa namaanisha bidhaa kama magari, mashine na vifaa vyote vya kielectronic; bidhaa hizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.