Recent content by Kibua

  1. Kibua

    Iran yakishambulia kituo cha Nyuklia cha Dimona na kukiharibu kabisa

    Vita ni vita Muraa.. Iran kumbe sio mpeche mpeche hii vita kazi ipo
  2. Kibua

    Sangara Ziwa Victoria: Ni Baraka kwa Uchumi au Laana kwa Ikolojia ya Samaki wetu wa Asili?

    Nembe, gogogo, ningu, furu, joa etc ni baadhi ya samaki zilizopendwa sana na jamii ya kanda ya ziwa ila sasa hazipo. Anyway booming ya biashara ya viwanda vya samaki(sangara) miaka ya 90s na early 2000s ilinyanyua sana uchumi wa kanda ya ziwa.
  3. Kibua

    Mashambulizi ya Israel + USA dhidi ya Iran yanakupa taswira Gani kuhusu uwezo wa kijeshi wa JWTZ

    Alieanzisha uchawa nchi hii alaaniwe na kizazi chake popote alipo..
  4. Kibua

    Serikali izuie kabisa uhamisho wa watumishi kwenda mkoa mwingine au kwenda kwenye taasisi nyingine

    Kikubwa serikali iboreshe stahiki za watumishi, ukiwa na mshahara na posho nzuri hata Ubaruku utaishi tu bila stress. Shida inaaza mshahara take home 300k na upo Udinde huko ndani ndani, unaona bora uhamishiwe mjini ujaribu hata vibiashara vya hapa na pale kuganga njaa.
  5. Kibua

    Nimepiga pekupeku sana Kanda ya Ziwa

    Wee mshamba wa Nangurukuru punguza shobo na wasukuma..bichi
  6. Kibua

    Kama unafanya kazi chini ya Tamisemi (Halmashauri), sema neno lolote kwenye uzi huu

    Hivi wahusika (wapanga mishahara hasa local government) hawalioni hili
  7. Kibua

    Akili matope ni hii, unaifungia JF halafu wewe mwenyewe unaingia kwa VPN

    Signs of a falling state and confused leaders
  8. Kibua

    Walimu wanafedhehesha sana, wananuka ufukara

    Safi sana mkuu welcome back..piga spana hawa wazee wa chaki akili ziwakae sawa.
  9. Kibua

    Nina zaidi ya kilo 100 na nina umri wa miaka 19: Nifanyeje?

    😂 😂 😂 mzee acha bullying
  10. Kibua

    Tetesi: Script imeshaandikwa tayari wale ‘waliomshambulia’ dada fake wa kikatoliki wamekamatwa

    Hii script itayeyuka kama ile ya mwanajeshi feki wa marekani aliyekamatwa na mabomu border
  11. Kibua

    Pole sana Waziri Salum Rajab - kimekurambaaa!

    Dawati la doria mitandaoni
Back
Top Bottom