Recent content by Kibua

  1. Kibua

    JamiiForums Tanzania Pole za dhati kwa Joanah kwa janga linalokusibu

    So sad, pole sana familia
  2. Kibua

    JamiiForums Tanzania Kati ya UKIMWI na Kisukari upi ugonjwa mbaya zaidi?

    😂 😂 😂 kwisha wewe
  3. Kibua

    JamiiForums Tanzania Mawakili zaidi ya 390 wa Tanzania Bara Hatarini Kupoteza Uwakili wao

    Hii kesi hamuwezi kutoboa sababu kuu wanufaika wa hiyo exemption ni watumishi wa mahakama (kesi ya nyani unapeleka kwa ngedere). Inapigwa chini mapema tu. Watu vilaza wametafuta shortcuts ya kupata uwakili bila kusota shule. Shame
  4. Kibua

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kuona Supu ya nguruwe

    Nenda Mbozi Songwe zipo kibao, wanakula hadi maini ya kitimoto
  5. Kibua

    JamiiForums Tanzania Mbinu mpya ya Utapeli Mjini: Mfanyabiasha usitume au kukabidhi Mzigo kwa kuangalia Screenshot ya Risiti!

    Huu ni uongo, AI haiikubali kufanya edit/changes kwenye financial bills ie invoice, receipts etc. Kwanza mtu utatoa vipi mzigo bila ku confirm pesa imeingia
  6. Kibua

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Duuh mishahara inatoka huko kwenu mijini tu? Huku Ushirombo bado ngoma ngumu
  7. Kibua

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hadi saivi ngoma ni nyau nyau..
  8. Kibua

    JamiiForums Tanzania Maisha ya madaktari wa Kitanzania na umaskini wao na kuishia katika kupata heart attack

    Sekta nyingi serikalini mishahara haiendani na hali ya maisha sio madaktari peke yao, hii inafanya rushwa iwe solution ya ku-survive. Shida inakuja kwenye kada kama ualimu ambao hawana option ya kuvuta chochote kitu.. Hii sio sawa kabisa
  9. Kibua

    JamiiForums Tanzania Kwenye mshahara wako ukisave kila mwezi 700k unabakiwa na tsh ngapi?

    Hongera mkuu ww ni tajiri..Tamisemi hii kwetu ni movie ya kutisha
  10. Kibua

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Duuh sisi tumesahaulika nn hadi saivi bila bila..tuchangieni ndugu zangu leo kula ugali dagaa hapana aisee
  11. Kibua

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arteta hawezi beba epl, msimu wa nne huu ana fumble dakika za jioni..kwa timu hii hii akipewa kocha kama Antonio Konte hata kwa msimu mmoja tu anabeba vikombe zaidi ya viwili.
  12. Kibua

    JamiiForums Tanzania Iran yakishambulia kituo cha Nyuklia cha Dimona na kukiharibu kabisa

    Vita ni vita Muraa.. Iran kumbe sio mpeche mpeche hii vita kazi ipo
Back
Top Bottom