Nembe, gogogo, ningu, furu, joa etc ni baadhi ya samaki zilizopendwa sana na jamii ya kanda ya ziwa ila sasa hazipo. Anyway booming ya biashara ya viwanda vya samaki(sangara) miaka ya 90s na early 2000s ilinyanyua sana uchumi wa kanda ya ziwa.
Kikubwa serikali iboreshe stahiki za watumishi, ukiwa na mshahara na posho nzuri hata Ubaruku utaishi tu bila stress. Shida inaaza mshahara take home 300k na upo Udinde huko ndani ndani, unaona bora uhamishiwe mjini ujaribu hata vibiashara vya hapa na pale kuganga njaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.