Hii ni kweli tangu 1995 Moshi haijawahi kumilikiwa na chama, ila wanaangalia upepo, ila mbunge atakayekumbukwa kwa sana ni Cyril Chami tu, alifanya mengi sana ya kukumbukwa ila alishindwa 2015 sababu ya vijana walitaka mabadiliko bila kujali uzuri wa mbunge anaetoka ccm
Hivi sio vyakula bali ni vichocheo vya kula nyama zaidi.
KICHURI
Kichuri kinatengenezwa na kutokana chakula ambacho hakijameng'enywa ndani ya tumbo la mnyama kinachanganywa na ndimu au limao, pilipili na nyongo kinapashwa kwenye moto kinachujwa na baada ya kuwa tayari kinapendeza zaidi ukila na...
Mkuu kipaumbele cha kikatoliki ni kanisa kujaa bila kujali tabia za waumini? Mnasali na wezi na mambo mnaona fresh tu?
Kabla papa hajaruhusu tambua kuwa mashoga walikuwa ndani ya kanisa katoliki lakini anachofanya ni kuunga mkono matendo yao, ambayo ni kinyume na mapenzi ya Mungu.
Kwa hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.