Recent content by Kibosho1

  1. Kibosho1

    Ubunge Moshi Vijijini 2025 pamoto

    Hii ni kweli tangu 1995 Moshi haijawahi kumilikiwa na chama, ila wanaangalia upepo, ila mbunge atakayekumbukwa kwa sana ni Cyril Chami tu, alifanya mengi sana ya kukumbukwa ila alishindwa 2015 sababu ya vijana walitaka mabadiliko bila kujali uzuri wa mbunge anaetoka ccm
  2. Kibosho1

    Sukari inauzwa hadi 5000 na Serikali iko kimya hadi sasa, bei elekezi ni ipi?

    Watanzania acheni kulalamika kila kitu, komaeni tu. "hata ikifika 10k tutanunua tu, sa tufanyeje? 🤔 Hawatukomoi" Maneno ya mnyonge hayo☝️
  3. Kibosho1

    Tofauti ya kichuri na kichiri hii

    Kizuri sana
  4. Kibosho1

    Tofauti ya kichuri na kichiri hii

    Hivi sio vyakula bali ni vichocheo vya kula nyama zaidi. KICHURI Kichuri kinatengenezwa na kutokana chakula ambacho hakijameng'enywa ndani ya tumbo la mnyama kinachanganywa na ndimu au limao, pilipili na nyongo kinapashwa kwenye moto kinachujwa na baada ya kuwa tayari kinapendeza zaidi ukila na...
  5. Kibosho1

    Orodha ya watu wanaojiona wameyapatia maisha

    Wenye mafile ya VPN za bure asee wanakuona ww ambaye hujapa kama msukuma ulietoka Simiyu leo...
  6. Kibosho1

    Papa Francis hapaswi kukosolewa dhidi ya uamuzi wake juu ya LGBTQ

    Kwa hiyo kwa akili yako sio ya papa unaona ni sawa? Kama ni sawa uko tayari kuolewa?
  7. Kibosho1

    Papa Francis hapaswi kukosolewa dhidi ya uamuzi wake juu ya LGBTQ

    Mkuu kipaumbele cha kikatoliki ni kanisa kujaa bila kujali tabia za waumini? Mnasali na wezi na mambo mnaona fresh tu? Kabla papa hajaruhusu tambua kuwa mashoga walikuwa ndani ya kanisa katoliki lakini anachofanya ni kuunga mkono matendo yao, ambayo ni kinyume na mapenzi ya Mungu. Kwa hiyo...
  8. Kibosho1

    LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

    Ritz unajidhalilisha sana, unajifariji na picha za za kudownload?
  9. Kibosho1

    LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

    Ni tatizo kubwa sana kwa familia kaama wana imani hiyo
  10. Kibosho1

    Kijana una miaka 30 halafu unadai hujapata mtu wa kuoa? Utakuwa na tatizo sio bure

    Kama anapenda mahitaji yasio ya lazma huyo sio mke
Back
Top Bottom