Recent content by Kibomba

  1. K

    JamiiForums Tanzania Mwigulu anatumia matatizo ya wananchi kujijenga kibinafsi ingawa mbinu hii ni zilipendwa! Anatamani matatizo ya watu yawe mengi!

    tungekua na katiba safiiii hayo matatizo anayo tatua yangesha tatuliwa kabla yeye kufika
  2. K

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Ukweli Mchungu wa 'Nongwa' Zake

    mzee ongeza nyundo nyingine msumari umesha kuta mfupa
  3. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Taasisi za Dini, mashirika ya serikali/yasiyo ya serikali na makampuni yote kemeeni na kuonya juu ya majaribio ya uvunjivu wa amani nchini

    mbona wasio julikana hamku wambia juu ya amani mpaka tumefika huku
  4. K

    JamiiForums Tanzania D9 nisipokufa kwa risasi nitakufa kwa njaa

    unakufaje na njaa na kuna panya mbwa koko wale pia kuna paka pia kuna kunguru njaa hainaga haram
  5. K

    JamiiForums Tanzania Mabadiliko ya katiba yakija vijana tugome kuongozwa na wazee

    kweli 🤛
  6. K

    JamiiForums Tanzania Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) Special Thread: Karibu tukuhudumie, tunaomba Maoni, Ushauri, Malalamiko, na hata Pongezi

    mmesha anza kutumia akili mnemba, katika matibabu na MRI mnemba, robot mnemba.
  7. K

    JamiiForums Tanzania eFootball Special Thread

    ni burudani tu. au badae mnajipatia maokoto
  8. K

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    timu la hovyo, imefanya hadi tumbo kunguruma
  9. K

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    azam 🖕
  10. K

    JamiiForums Tanzania Nimenusurika kuuliwa na radi

    🤔😀😀huyo mzee noma. sikua pekeangu nilikua na masela na wote tulianguka chini, jamaa aliekua na tochi ndo alikua anapiga mayowe nilipo amka tu sikuangalia mtu nilitimka mbio
  11. K

    JamiiForums Tanzania Nimenusurika kuuliwa na radi

    😀😀
  12. K

    JamiiForums Tanzania Nimenusurika kuuliwa na radi

    hilo zaga mpaka sasa nikisikia mungurumo nakosa amani. lili ntwanga nikapote fahamu kwa sekunde
  13. K

    JamiiForums Tanzania Hakuna Kiingilio!! Kichekesho na utapeli wa mialiko ya mikutano ya injili

    acha kuwafanya watu misukule kwakujiweka kati, kila mtu ana maumivu ya kutokurizika na maisha yake
  14. K

    JamiiForums Tanzania Mateso anayonipa jini mahaba

    mfupa saga na nyundo, hainaga kukwama
Back
Top Bottom