Recent content by Kiboko.

  1. Kiboko.

    Tamko la wana Kawe ( Raia ) kwa Wanajeshi wa Lugalo baada ya KUTESWA kwa VIPIGO na KUUMIZWA vibaya, huku hadi leo JWTZ halijawaomba msamaha

    Acha ushabiki, Kanal wetu kauawa na mhuni mmoja hapo Kawe unatarajia nini? Hatuna kawaida ya kuongea sana. Sifa za kijinga zitakuponza.
  2. Kiboko.

    Uchaguzi ujao, Kanda ya Ziwa isiwe ndio Kanda inayotuchagulia Rais

    Mwanasiasa mwenye akili anajua turufu yake iko kanda ya ziwa utake usitake, hushangai kwann baba wa taifa ametoka kanda ya ziwa? Kama huwez wapiga ungana nao…. Nenda daftar la kudumu ya tume ya uchaguz ya taifa angalia wapiga kura wa kanda ya ziwa afu linganisha na kanda nyingne.
  3. Kiboko.

    Namtafuta Mwalimu wangu wa O. Level anaitwa Kisuu

    Kisuu alikuwa headmaster bwiru boys miaka ya 2000, ilipofika 2008 akahamishwa baada ya mgomo mkubwa wa wanafunzi dhidi yake ndo akahamishiwa Moshi tech, aliwah kutwa na skendo ya kuibiwa nguo zote na pesa baada ya kuopoa dada poa Arusha akalishwa dawa za kulevya… kwa kifupi mzee alikuwa na laana...
  4. Kiboko.

    Balozi wa Tanzania nchini Malawi ataacha lini utoto?

    Enzi za mwalimu palikuwa na mitandao ya kijamii? Ebu acha chuki za kijinga mtu mzima hovyoo
  5. Kiboko.

    Polepole analipwa mshahara kama Balozi, lakini mpaka leo yuko Dodoma. Watanzania Malawi wanateseka

    Tambua kuwa mabalozi wawili hawawez kutana nchi moja, Balozi anaemaliza muda wake bado yupo malawi mpka mwenz wa nane ndo anaondoka na kuja nchini mkabidh polepole mikoba.
  6. Kiboko.

    Bobi Wine: Katiba Mpya pekee si suluhisho

    Huyu kasema ukweli, kaona udhaifu wa chadema ulipo...hakina uungwaji mkono toka kwa vijana
  7. Kiboko.

    Bungeni: Mjadala wa dharura kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta nchini. Mbunge asema tozo mbili zinaongeza 792 kwenye bei

    wewe uteuzi unakusumbua, hakuna lolote amefanya zaid ya kuwapiga beat waheshimiwa wabunge kutomtaja raisi.
  8. Kiboko.

    Kifo cha hayati Magufuli kuwa moja ya ajenda kubwa uchaguzi 2025. CCM itapasuka na mengi yataibuka

    huna akili weewe maisha ya miaka hyo unataka fananisha sasaaa
  9. Kiboko.

    Kumbukumbu (Legacy) ya Dkt. John Pombe Magufuli

    Wewe ni kilaza, bisha kwa kuleta matokeo yako ya kidato cha nne.
  10. Kiboko.

    Le Mutuz naye ampopoa Paul Makonda, amwambia dharau zimemponza

    Kikwete na chawa wake wanafanya kila namna mpoteza Paul, lakn ajue kuwa siku shiling ikgeuka familia yake itapata tabu sana, Makonda bado mdogo namuona mbali
  11. Kiboko.

    Luhaga Mpina, mmoja wa Wana CCM waliochukizwa Samia kuwa Rais, awaita Mawaziri awamu ya 6 matapeli

    Kama wanagusa maslah ya watanzia tulio wengi hawa ndio watu sahihi kwa taifa kulko huyo mama yenu
  12. Kiboko.

    Rais Samia tafadhali acha kumnanga kila mara kimafumbo Hayati Dkt. Magufuli

    Kwa mara ya kwanza Tanzania kama nchi inaongozwa na kilaza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  13. Kiboko.

    TPA elezeni ukweli juu ya mapungufu yenu na mkwamo wa serikali kuboresha mitambo na ufanisi wa bandari ya dar es salaam bila kuuma maneno

    Unatwanga maji kwenye kinu wewe, serikali iko mikonon mwa wapigaji, sasa wanafanya figisu ili TICS aondolewe apewe kandarasi mtu mwingine na ikiwezekana bandari pia ibinafsishwe kwa hyo kampuni , safari za dubai hazikuwa za bure mkuuu…. Tukae kwa kutulia tu nchi imerud kwaoo..
  14. Kiboko.

    Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

    Kama kweli hoja yake inamashiko, kwann amekataza dreva wake asihjiw? afu anataka alipwe pesa za matibabu ilihali wanachi ndo tulimchangia pesa za matibabu mbwa huyu?
Back
Top Bottom