Mwanasiasa mwenye akili anajua turufu yake iko kanda ya ziwa utake usitake, hushangai kwann baba wa taifa ametoka kanda ya ziwa? Kama huwez wapiga ungana nao…. Nenda daftar la kudumu ya tume ya uchaguz ya taifa angalia wapiga kura wa kanda ya ziwa afu linganisha na kanda nyingne.
Kisuu alikuwa headmaster bwiru boys miaka ya 2000, ilipofika 2008 akahamishwa baada ya mgomo mkubwa wa wanafunzi dhidi yake ndo akahamishiwa Moshi tech, aliwah kutwa na skendo ya kuibiwa nguo zote na pesa baada ya kuopoa dada poa Arusha akalishwa dawa za kulevya… kwa kifupi mzee alikuwa na laana...
Tambua kuwa mabalozi wawili hawawez kutana nchi moja, Balozi anaemaliza muda wake bado yupo malawi mpka mwenz wa nane ndo anaondoka na kuja nchini mkabidh polepole mikoba.
Kikwete na chawa wake wanafanya kila namna mpoteza Paul, lakn ajue kuwa siku shiling ikgeuka familia yake itapata tabu sana, Makonda bado mdogo namuona mbali
Unatwanga maji kwenye kinu wewe, serikali iko mikonon mwa wapigaji, sasa wanafanya figisu ili TICS aondolewe apewe kandarasi mtu mwingine na ikiwezekana bandari pia ibinafsishwe kwa hyo kampuni , safari za dubai hazikuwa za bure mkuuu…. Tukae kwa kutulia tu nchi imerud kwaoo..
Kama kweli hoja yake inamashiko, kwann amekataza dreva wake asihjiw? afu anataka alipwe pesa za matibabu ilihali wanachi ndo tulimchangia pesa za matibabu mbwa huyu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.