Huyu Professor , shida yake nilikuwa ni madaraka.msameheni hajui alisemalo.uliona wapi professor wa kuhama hama vyama? He aliwahi kuandika kitabu gani huyu professor?
Huku mahakama ya ardhi na nyumba wilaya ya moshi Kilimanjaro, kuna karani anaijwa Joseph,ni shinda na tunaomba afanyiwe utafiti wa kina.ndiye anayepokea mlungula wa waheshimiwa hapo mahakamani.tununaomba ahamishwe .ni shida.kwaheri
SUA.ni chuo kikuu kilichoanza kuwa jipu tangu 2994.tulipoanza hapo na kumaliza bila kuajiriwa na serikali mwisho tukaingia wizara ya elimu na kuanza kuamba kazi ya ualimu .Sua inahitaji wajipange.sio chiuo salama kwa maisha salama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.