Recent content by kibiloto

  1. K

    Spika Ndugai: Wabunge wasiingie na power bank bungeni, askari aliyezima moto kuzawadiwa!

    Wasiingie na simu bungeni huko ndani wanaenda kumpigia nani
  2. K

    Mpango wa CCM ni kuwatumia Masha, Msando na Katambi kuivuruga TLS, mawakili waaibisheni

    Kama wanakosa haki ya kuchaguliwa hivyo hivyo hawana haki ya kuchagua inabidi nao waunde umoja wao ili waweze kuchagua na kuchaguliwa it's simple for me
  3. K

    Utofauti mkubwa kati ya Kiongozi na Mtawala kama ilivyo kati ya Rais Kenyatta na Magufuli, na chama tawala, chama dola

    Nakumbuka Nelson Mandela baada ya kukaa gerezani kwa miaka 27 na hatimaye kuwa rais wa Africa kusini akishawishiwa alipe kisasi kwa walio mtesa yeye alichukua njia pana ya kuunda tume ya maridhiano na upatanishi hakika nampenda sana Nelson Mandela
  4. K

    January Makamba (Mb) amepatwa na nini?

    Kaka January fanya kazi zako nakutakia ndoto njema, mzee waangalie mawaziri, wakuu wa mkoa na wilaya ambao kila siku wako kwenye social media hakika hawa Wana lengo tofauti kabisa na wewe wao wa naangalia fursa za 2020 na 2025 mzee waangalie vizuri siku njema
  5. K

    Katibu wa Bunge: Hali ya afya ya Spika Ndugai inaendelea vizuri, kurejea nchini wakati wowote

    Vip mbona hakusema Hali ya mbunge wake tundu lisu inaendeleaje
  6. K

    Pendekezo: Mbunge au Diwani akiachia ngazi,chama kilekile kiteue mbunge/Diwani mwingine

    Yes naikubali hii pia aliyejiuzulu Bila sababu za Msingi apelekwe mahakamani kutumia fedha za umma vibaya
  7. K

    CCM ina ubavu wa kumwondoa Rais madarakani kama ANC ya Afrika Kusini ilichomfanyia Zuma?

    Nimeupenda mfumo wa vyama vya siasa vya zanu pf na anc vina mfumo ulio na nguvu dhidi ya viongozi wake
  8. K

    Je, wabunge Mtulia wa kinondoni na Mollel wa siha wamehamia CCM na ruzuku zao?

    Nasikia kuna kiwanda cha sabuni na mafuta ya kupaka wanatengeneza bidhaa bora zinaitwa zoazoa
  9. K

    Mfanyabiashara mwenye kesi za utapeli aibukia kanisani kutafuta ubunge

    Macha rombo hapana labda SIHA au hai au moshi vijinini
  10. K

    Serikali yatishia kuzifuta Taasisi za dini zinazokiuka misingi ya kuanzishwa kwake

    Hata kwenye mikutano yao kusiwe na Neno asalam alaykum au tumsifu yesu kristu au bwana yesu asifiwe sana ibaki people's power na kidumu chama cha mapinduzi au ccm oyee au uzalendoooo nawaailisha
  11. K

    Serikali yatishia kuzifuta Taasisi za dini zinazokiuka misingi ya kuanzishwa kwake

    Hapa nakubali serikali nimefurahia kauli hii ila iwe ni pande zote hivyo hata viongozi wa kisiaaa na serikali wapokuwa kanisani au msikitini Wakati wa IBADA kabla na baada wasipewe kipaza sauti kwa kisingizio cha kuwasalimia waumini msumeno ukate pande zote hapa kazi tu
  12. K

    Mfanyakazi wa Shirika la Mfuko wa Pension (PPF) Anitha Oswald (32) Ni Mtuhumiwa wa Kusafirisha dawa za Kulevya

    Nendeni kata ya bondeni pale kuna masela ndiyo kazi yao hapa mjini na mnawajua sana
  13. K

    Mfanyakazi wa Shirika la Mfuko wa Pension (PPF) Anitha Oswald (32) Ni Mtuhumiwa wa Kusafirisha dawa za Kulevya

    Nendeni kata ya bondeni pale kuna masela ndiyo kazi yao hapa mjini na mnawajua sana
  14. K

    Kutoka Dodoma, Mrithi wa Kinana: Shigela, Pereira, Prof. Mkumbo na Dr. Bashiru Ally watajwa

    Kwa ninavyo jua kanuni na katiba ya chama cha mapinduzi anayejua nani atakuwa katibu mkuu WA CCM ni mwenyekiti wa ccm pekee hadi sasa ndg John Joseph pombe magufuli hizo ni porojo wala hakuna kikao cha aina hiyo huko Dodoma kinacho jadili jina la katibu mkuu kalale mapema
Back
Top Bottom