Recent content by kibiasharazaidi

  1. K

    JamiiForums Tanzania Consultation fees (Gharama ya Kuonana na Daktari) zinatumaliza watanzania - RAIS tusaidie

    Hizo gharama unazosema ni za private hospitals sio za Hospitali za UMMA, na kwa taarifa yako ni kwamba HUWEZI KUMPANGIA MTU AFANYEJE BIASHARA YAKE, Wewe kama huwezi kuwaona hao, Chapa mwendo, nenda MNH
  2. K

    JamiiForums Tanzania Consultation fees (Gharama ya Kuonana na Daktari) zinatumaliza watanzania - RAIS tusaidie

    Well said, watanzania wengi hawathamini afya zao na pia hawafikirii sawasawa. Ndo maana kuna hospitali za Umma ambako utamwona daktari kwa tsh 2000/- tu au 5000/-. Mbona hatulalamikii wanasheria ambao kugonga tu mhuri wao kwenye mkataba wako tu bila consultation yoyote ni 10% ya gharama ya mali...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kwenu madaktari-hivi Tanzania ugonjwa ni malaria tu?

    Dr. Maubero na mwenzio Mpigania uhuru, nawashauri muangalie ITV malumbano ya Hoja usiku huu ndo mjue kwamba sisi wananchi tunafikiria nini kuhusu nyie! Suala la kuniambia nikikuambia dalili zangu bila kunipima wewe utajua kama ni malaria na unipe dawa tu nakufananisha na mganga wa kienyeji...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kwenu madaktari-hivi Tanzania ugonjwa ni malaria tu?

    Sounds professional! ahsante
  5. K

    JamiiForums Tanzania Kwenu madaktari-hivi Tanzania ugonjwa ni malaria tu?

    Mkuu hili ni jukwaa huru, hata kama sijui hivyo ulivyoviandika hapo juu wewe unatakiwa ujibu (kama unataka) hoja iliyopo mezani. Na mimi nikikuuliza vitu nilivyosoma mimi kwa muda wote niliokuwa shule hutavijua. Cha msingi jibu hoja Dr.na kuwa tayari kupokea challenges! Suala la mtoto wangu...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Kwenu madaktari-hivi Tanzania ugonjwa ni malaria tu?

    Mkuu ulichosema ni kweli kabisa,ila kifanyike kwenye malaria kali tu! ninachohoji hapa ni sisi tunaoenda hospitali kwa vidalili vya kichwa kuuma, kizunguzungu, maumivu ya viungo n.k
  7. K

    JamiiForums Tanzania Kwenu madaktari-hivi Tanzania ugonjwa ni malaria tu?

    dalili zamalaria mara nyingi ni sawa na za magonjwa mengine kama typhoid, kwa hiyo dr unataka kusema kwamba ukifikiria tu ugonjwa basi uutibu? kama ni hivyo sina haja ya kuja kwako kwa sababu dalili za malaria nazijua na ntanunua dawa dukani
  8. K

    JamiiForums Tanzania Kwenu madaktari-hivi Tanzania ugonjwa ni malaria tu?

    sijaenda shule ya udaktari lakini nimeenda shule zingine na najua kutumia common sense na pia nasoma sana hata vitabu vyenu, kama sio malaria kali, hakuna haja ya kutoa dawa mpaka ithibitishwe kwa kuwa mnatengeneza usugu wa madawa
  9. K

    JamiiForums Tanzania Msaada-betri za laptops

    nitapata wapi betri ya laptop acer mini inayoweza kukaa na chaji kwa muda mrefu zaidi hapa Dar?
  10. K

    JamiiForums Tanzania Kwenu madaktari-hivi Tanzania ugonjwa ni malaria tu?

    Nilichogundua ni kwamba kwenye hospitali nyingi za mikoa, kushuka chini asilimia kubwa ya wagonjwa wakifika tu kwa madaktari wanapatiwa dawa za malaria hata kabla ya vipimo, na hata vipimo visipoonyesha uwepo wa wadudu hao, bado utapatiwa dawa. Hivi nyie madaktari wetu kwani ugonjwa ni malaria...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Sheria za barabarani

    Je ni kosa kuendesha gari ambalo kioo cha mbele kina Crack (ndogo) ? maana nasumbuliwa sana kwa hili... je wale ambao wameweka ribbon kama urembo kuuficha hiyo crack mbona hawasimamishwi?
  12. K

    JamiiForums Tanzania short courses abroad

    Jamani changamkieni hizi wadau, chekini hapa Public Service Management
  13. K

    JamiiForums Tanzania Toyota Land cuiser for sale

    nipunguze mpaka ngapi?
  14. K

    JamiiForums Tanzania Toyota Land cuiser for sale

    kama 240,000 hivi
  15. K

    JamiiForums Tanzania Toyota Land cuiser for sale

    ndogo sana
Back
Top Bottom