Kuna baadhi ya viumbe nao wanatafakari ukuu wa Mungu na kuwaza kusudi la Mungu ilikuwa nini kumuumba Kiumbe mtu maana ndio kiumbe anaeoongoza kwa kutumia akili na rasilimali zote kuunda silaha na sumu za kuangamiza kiumbe wenzake.
Well, Mengi yameelezwa na wanaume wenzangu Mimi niongezee tu sipendi Tabia ya “gaslighting”. Nimekosa neno la kiswahili hapa lenye maana ya moja kwa moja lakini ni ile tabia anakufanya u doubt kumbukumbu zako yaani anakataa kwamba hukumpa maagizo fulani, yaani anaruka mita mia kwamba hukusema...
Narudia tena “TUNAPOCHEPUKA SIO KWAMBA HATUWAPENDI” sisi ni plug n play. Don’t take that on you kuanza kujiona sijui sio mzuri, sijui huthaminiki, sijui hupendwi etc. Mnatanguliza “Ego” sana kwenye hii ishu. The biggest mistake that you can make after experiencing romantic betrayal is believing...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.