Recent content by kiberee

  1. K

    Viongozi wa dini wakemea upotoshaji unaofanywa na ukawa

    Mungu yule ambae mnatuambia hapend mabaya misikitini na makanisani leo mnaatumia mwavuli huo huo kusuport mabaya kwasababu ya pesa na uchu wa madaraka mlitakiwa muwe Mfano nyie na yakitokea matokeo mabaya kutokana na mbegu mnayopanda mtaanza kutuambia tusali Kaz kweli kweli
  2. K

    Waraka watolewa Kanisani, ukitaka mchakato wa Katiba Mpya usitishwe!

    Sr. Magdalena respect ....its the good thing all of us regadless of religion we see eye to eye on this things
  3. K

    Kikwete, Ukawa leo, Makanisa yaonya

    Maadui ndo hao viongoz ...as mater of fact ni magaidi
  4. K

    Graduate, mshahara chini ya milioni moja usifanye kazi

    Dunia ya sasa imekuwa ya kibiashara inabid uuze kitu ili uweze kupata kipato Swali ni kwamba una uza nini na je unauza kwa fair price Nadhani sio sawa kumuuzia mtu muda wako na ujuzi maana no mater how hard u work they will never pay u enough and u wont grow financially nor socially How are u...
  5. K

    Mlitegemea CCM waache mema yote haya

    Ndo nipo kazini hapa ... Na hii ndo kazi tunatakiwa tuifanye kwanza maana bila kuziba matobo huwezi jaza maji kwenye pipa utazeeka unachotea maji tu na hawa wanamazingaimbwe wameshatoboa matobo
  6. K

    Mlitegemea CCM waache mema yote haya

    Walioshika Mpini wako tayar kusimamia chao kwa gharama yeyote maana hamna kitu kinatisha kama njaa Swali ni moja tu sisi ambao tunataka mabadiliko je tupo tayari kumaanisha kusimamia tunachohitaji kwa ajili ya kesho yetu Wa tz ni waoga na wasiothubutu kufanya kitu cha tofauti pamoja na kero...
  7. K

    CCM inacheza na Akili za Watanzania wakurupukaji na mashabiki

    Mchezo wa kisiasa ccm wanaujua maana uwanja wameshauzoea na mashabiki wanawajua
Back
Top Bottom