Recent content by Kibenje KK

  1. Kibenje KK

    Mbinu wanazotumia Matajiri wakubwa wa Kariakoo kuendelea kuwa matajiri na kutoshikika

    Hii post motivational Ni ipi? Why mnapenda Kila mtu aongelee udaku au siasa na mpira? Post ni tofauti kabisa na video uliyokariri. Post inaelezea siri wanazotumia na sio namna ya kuwa tajiri. Mimi ni winga tu pale ambapo hata wewe ukikaa kariakoo au kuwa mnunuaji utazijua na kushare Sio mbaya
  2. Kibenje KK

    Mbinu wanazotumia Matajiri wakubwa wa Kariakoo kuendelea kuwa matajiri na kutoshikika

    🤣Watu wa negative bhana. Yes ni kawaida kama vile kujua sheria za kufuata uingie mbinguni na usiingie
  3. Kibenje KK

    Mbinu wanazotumia Matajiri wakubwa wa Kariakoo kuendelea kuwa matajiri na kutoshikika

    Anza tu biashara na nenda unakua. Siku zote circle Yako Ni wake mnaofanana sababu mnazungumza lugha moja. Ukiwa na 200M marafiki zako watakua wa aina hiyo
  4. Kibenje KK

    Mbinu wanazotumia Matajiri wakubwa wa Kariakoo kuendelea kuwa matajiri na kutoshikika

    SIRI WANAZOTUMIA MATAJIRI WAKUBWA WA KARIAKOO KUENDELEA KUWA MATAJIRI NA KUTOSHIKIKA Usipozijua utaendelea kuwashangaa Ukitaka kujua Tanzania kuna matajiri, Nenda kariakoo. Hizi ni baadhi ya siri tu wanatumia kuendelea kukuza utajiri wao... 1. Group Buying ya Nguvu wanaungana makundi na...
  5. Kibenje KK

    Msaada aliyewahi kuagiza mzigo kupitia Umoja air cargo

    Nimewahi kuwatumia mizigo ya ndege mwaka jana April 2024 na ilifika
  6. Kibenje KK

    Kila Mfanyabiashara aliye Makini na maono ya Biashara yake Anapaswa na ni Lazima kuwa na mambo haya

    Mfanyabiashara wa Tanzania anayechukulia biashara yake kwa umakini anapaswa kuwa na mambo yafuatayo: TIN Number (Taxpayer Identification Number) – Hii ni namba ya utambulisho wa mlipakodi kutoka TRA, inayomwezesha mfanyabiashara kulipa kodi rasmi. Leseni ya Biashara – Hutolewa na halmashauri...
Back
Top Bottom