Naona sasa hivi taratibu ukweli unaanza kufahamika, jana NHIF wamerudisha dawa 178 ambazo walizitoa kwenye kitita kipya na bila ya aibu walikuwa wanashupaza shingo kuwa hawajapunguza isipokuwa dawa zote muhimu zipo kwenye kitita.
Huu mfuko unaendeshwa kisanii na siasa sana, yaani bado wana ile...
Naona una dalili za kutafuta justification za usaliti kwa mume wako.
Once msaliti always msaliti usitafute visingizio vya kuhalalisha kugawa kwa kila msela anayepita mbele yako.
Kwenye vitita vya bima hasa NHIF bei wanapanga wao na si watoa huduma au mnufaika kama wewe na mimi, sijui kwa nini umeshindwa hata kuuliza/kufuatilia kinachoendelea nchini kuwa NHIF wamefuta huduma na kushusha bei za hduma beyond uwezo wa watoa huduma kujiendesha na mtoa huduma kutakiwa kupokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.