Recent content by kibaja

  1. K

    Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha Upinzani Makini? - Prof. Kitila Mkumbo

    Mkuu Pasco, Hongera kwa andiko lako kuhusu kauli ya Prof. Dr. Kitila Mkumbo. 1. Hakika Kitila anadhani Upinzani imara utatoka ACT, Amekosea. ACT kwa sasa wanakosa pa kusimamia/kutokea (lack of Identity). Hawajui wawe wapinzani au waendelee kuichekelea CCM na kupokea ufadhili wao. Na ndio maana...
  2. K

    USAHIHI: Gazeti la Mwananchi ni wapotoshaji, Ukweli wa alichokisema NAPE ni huu (VIDEO)

    Mkuu wewe ndio huna malezi mazuri, nadhani una haja ya kutafuta baba wa kukulea tena pamoja na kuwa nahofia utakuwa kubwa jinga
  3. K

    Tumemsikia Kinana kupitia kwa Nape; CCM wamealika mapambano na Watanzania Oktoba, hofu

    Soma comments za wananchi kwenye fb page ya EATV, wananchi wamemjibu Nape
  4. K

    CCM yaandaa mkakati wa uchaguzi kwa kutumia jeshi la mgambo kusulubu vijana

    TAARIFA YA MWENYEKITI WA BAVICHA MKOA WA NJOMBE KWA VYOMBO VYA HABARI Ndugu Waandishi wa Habari, Katika kipindi cha wiki Miezi Miwili iliyopita wakatizoezi la Uandikishaji likiendelea katika Mkoa wa Njombe, kumekuwepo namfululizo wa vikao vya Chama Cha Mapinduzi Kujadili namna ya kujinusuru...
  5. K

    Tafakuri Chokonozi: Mahakama imegeuka adui wa Zitto?

    Mkuu Mtoi umechokonoa vizuri Sana, achana na buk Saba wa Lumumba na Act ambao hawana tena platform. Kudos Mtoi
  6. K

    Hakuna vurugu kwenye kikao cha Mh. Mbowe kanda ya Serengeti

    Mkuu asante kwa ufafanuzi
  7. K

    Mwanasheria Mkuu Zanzibar Akamatwa baada ya kupiga kura ya Hapana

    Mods unganisheni huu uzi na wa Haki Sawa kwa sababu hata huyu Chabuma! Sio reliable source.
  8. K

    Mwanasheria Mkuu Zanzibar Akamatwa baada ya kupiga kura ya Hapana

    Unataka habari zakukufurahisha tu?? Subiri confirmation
  9. K

    Mwanasheria Mkuu Zanzibar Akamatwa baada ya kupiga kura ya Hapana

    Hii ni hatari sana. Yani kupiga kura tu unakamatwa. Hii taarifa ina ukweli kwa % nyingi tu
  10. K

    UKAWA waumbuka Dodoma, Akidi yapatikana bila ya wabunge walio nje ya Ukumbi

    Jumla ya wajumbe: Bara 419+ Zanzibar 2010= 629. Wajumbe waliopo Bungeni: Bara 295+ Zanzibar 142= 437. 2/3 kwa Zanizbar ipo na wamezidi wajumbe 2, 2/3 kwa Bara ipo na imezidi wajumbe 15. Je hoja kuwa kuna uhaba wa wajumbe wa Zanzibar na hivyo hakuna 2/3 imekuaje. Naona kuna...
  11. K

    Muda wa Kurudisha Fomu za Kuomba Uongozi wa Kitaifa na Mabaraza waongezwa

    Chaguzi zinaendelea vizuri na Uchaguzi Mkuu wa Chama tarehe ni ileile yaani tar 14/09/2014
  12. K

    Muda wa Kurudisha Fomu za Kuomba Uongozi wa Kitaifa na Mabaraza waongezwa

    Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kimeongeza muda wa kuomba nafasi ya kugombea Uongozi wa Kitaifa hadi tar 30/08/2014 saa kumi alasiri. Taarifa za awali za Chama ni kuwa mwisho wa kurudisha fomu ilikuwa tarehe 25/08/2014. Muda huo umeongezwa kutokana na maombi mengi ya wanachama mikoani...
  13. K

    John Shibuda kuanzisha chama chake cha siasa au kuhamia TADEA

    Another useless fellow! Shibuda
  14. K

    Hatimaye jimbo la Ubungo lapata viongozi wapya

    Soma Mwongozo wa Baraza la Vijana ndio uje ukosoe hapa. Huo ni wadhfa na upo kwenye Mwongozo husika.
Back
Top Bottom