Recent content by Kiatu cheusi

  1. Kiatu cheusi

    Tatizo la Muwasho Sehemu za Siri: Chanzo, Matibabu na Namna ya Kujikinga

    Kiukweli tatizo la kuwashwa mwili pamoja na sehemu sehemu za siri kwa sasa limekuwa linatesa watu wengi sana, kwa mfano wengine inafikia ngozi kukakamaa kama kenge kwenye uume na korodani. Msaada wenu wadau hapa inatakiwa kutumia dawa ipi?
  2. Kiatu cheusi

    Kitilya na wenzake waanza kujibu mashtaka ya uhujumu uchumi yanayowakabili

    Daah! Dizaini kama komedi ukisoma mlolongo wa kesi.
  3. Kiatu cheusi

    Jaji Mkuu waonee huruma watanzania hawa wanyonge

    Hapo ndipo tunapopata swali mdau.
  4. Kiatu cheusi

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Kiongozi watu wanamadai ya msingi hasa upande wa taaruma za Viongozi hasa baada ya vuguvugu la vyeti feki ambapo limepelekea baadhi ya watumishi kufutwa kazi na huku wengine wakifungwa gerezani lakini wengine wanatetewa na mpaka kufikia jana umeona wamekamilisha utetezi kwa Viongozi wenye vyeti...
  5. Kiatu cheusi

    Waziri Angela Kairuki: Uhakiki wa vyeti haujafanywa kwa Viongozi walio katika nafasi za kisiasa!

    Kweli kabisa ujinga mtupu. Sent from my TECNO F6 using JamiiForums mobile app
  6. Kiatu cheusi

    Machinga wapinga agizo la RC Dar kuzuia uuzwaji wa Filamu za nje ya nchi, Waandamana

    Mh! Samahani mkuu sijakupata hapa kwenye coment yako, una oppose au propose?. Sent from my TECNO F6 using JamiiForums mobile app
  7. Kiatu cheusi

    Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ahudhuria Ibada KKKT Kimara; hataruhusu Dar kuwa lango la Madawa

    Siku zote felia huwa wanambwembwe sana, jaribuni kuangalia mtaona. Sent from my TECNO F6 using JamiiForums mobile app
  8. Kiatu cheusi

    Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ahudhuria Ibada KKKT Kimara; hataruhusu Dar kuwa lango la Madawa

    Mungu adhihakiwi mbona hapo kabla hatukuwa tukimuona makanisani?. Sent from my TECNO F6 using JamiiForums mobile app
  9. Kiatu cheusi

    Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ahudhuria Ibada KKKT Kimara; hataruhusu Dar kuwa lango la Madawa

    Mfa maji huyo, kipindi hiki ndio anakumbuka nyumba za ibada?.
  10. Kiatu cheusi

    Gwajima: Kutakuwa na Ugeni wa mzee kutoka kijiji cha KOROMIJE

    Vyeti ndio mpango, atupie mezani. Sent from my TECNO F6 using JamiiForums mobile app
  11. Kiatu cheusi

    Zitto: Manji anakomolewa, sasa anyang'anywa hisa zake za Tigo na Serikali

    Kama ni kwa kuwasaidia watanzania ni njema na Mungu aisimamie selikari. Sent from my TECNO F6 using JamiiForums mobile app
  12. Kiatu cheusi

    Zitto: Manji anakomolewa, sasa anyang'anywa hisa zake za Tigo na Serikali

    Tatizo ni kwamba uongozi tulionao sasa unaongoza kwa chuki, wanawachukia sana waliofanikiwa kimaisha kabla, kama mnakumbuka bwanamkubwa aliwahi kusema anataka matajiri waishi kama mashetani akiwa na maana kwamba waishi kama masikini na kitu ambacho hakiwezekani mtu katafuta hela miaka mingi...
  13. Kiatu cheusi

    Hoja ya dharura wanachuo 7,000 UDOM: N/Spika aahirisha Bunge baada ya wabunge kwa pamoja kutoka nje

    Huyu naibu spika ninadhani toka uteuzi wake kulikuwa na uhuni na ndio maana ilipelekea Bungeni kukawa na mzozo na sasa ndio kuonesha uwezo wake mdogo wa kuongoza kundi lililo na wasomi ndani yake.
  14. Kiatu cheusi

    Azam tv mnachokifanya hakivumiliki

    Hakuna demokrasia Tanzania.
Back
Top Bottom