Recent content by Khoe

  1. K

    JamiiForums Tanzania Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

    ndugu una uhakika na unachokisema?
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kizungumkuti Kuungua kwa Bohari ya Dawa.

    tetesi yako c ya kweli dawa za malaria zilikuwa store pamoja dawa mbalimbali za binadamu na zote zimeungua na hii kampun inaitwa phillips pharmaceuticals t ltd na sio msd 5 fanya utatifiti kabla haujapost, me ni mfanyakazi wa hiyo company iliyoungua
  3. K

    JamiiForums Tanzania CHADEMA-Mikutano itakuwa barabara kuu!

    Acha udini na ukabila ndugu yangu sidhani kama chadema ni chama cha wote wapendao mabadiliko kwenye nchi hii.
  4. K

    JamiiForums Tanzania Vitisho Kagame: Rwanda ikituchokoza kijeshi tutaichakaza

    wee unaonekana ni mnyarwanda kama kagema, hata kama serikali na in udhaifu wake lakini kusema hayo, kwani mtu kukwambia upatane na jamaa yako kuna tatizo gani?
  5. K

    JamiiForums Tanzania ITV Tanzania:Kibanda awaambia Polisi waseme ukweli

    Ni jambo la kumshukuru kuwa umerudi salama, ipo cku ukweli utajulikana hata kama wewe hautasema,wapo watakaosema kwa niaba yako, amin mungu yupo upande wako naye atakutetea tu.
Back
Top Bottom