nina compaq presario ilikuwa na windows vista nikabadilisha nikaweka ubuntu lakini USB ports zote hazikufanya kazi baada ya kubadilisha, sasa nataka kurudisha vista inashindikana, nimejaribu windows zote kila inapoanza ku-install windows inaleta blue screen na kuandika "bios is not full ACPI...
kenya ni jirani zetu ila mara nying wamekuwa wakituzarau..jukunu la kusema na kukosoa bunge letu na viongoz wetu ni letu si lao, wao wanaacha kuangalia yao unafuata ya kwetu wamesahau kuwa viongoz wao wananuka rushwa kama wetu bas uyu jamaa achore katuni za kupinga ukabila kwao na kupinga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.