mke kuliwa chochote sio tatizo...hapa ni kumuadabisha aliyemla...mwanamke hana hata haja ya kuchapwa kofi...jamaa akikausha yy ndo atadhoofu kisaikolojia na wengi huishia kujinyonga....amuadabishe jamaa sawasawa na nilivyochambua hapo juu. itakuwa funzo kwa mke pia
hapo kwny "haongei na mtu"...km vile namuona jamaa alivyokuwa amekodoa macho kodo ili aone barabara vizuri. kutoongea na mtu kwa mlevi ni mbinu ya kujaribu kuwa focused.
Mkuu achana na upuuzi wa kuambiwa SAMEHE..biblia yenyewe imeandika USICHUKUE MKE WA MTU, sio mme wa mtu. Kwahiyo muite jamaa ukiwa na washkaji zako wawili eneo ambalo hawezi kujitutumua, tena ukiweza mpange na huyo waiter awepo na mkeo awepo...wote hawa wasijue umewaitia nn...halafu muonyeshe...
Magufuli hadi namuonea huruma...huwezi kuiba robo ya hazina halafu tukuangalie tuuu...hii 1.5tillioni atainya yote kabla hata muhula wake haujaisha. Shubaamit.
MSIMPE SIFA ZOTE YEYE...yeye ni mwanzilishi tu wa hiyo brand ya kipanya, lkn kuna ofc kabisa vijana wameajiriwa...ndo huwa wana brainstorm na kuchora, tena katuni nyingi then zinapigiwa kura kwenye group lao la whatsapp, masoud anaidhinisha. hana akili zozote kukuzidi ww mtoa mda.
Mbona Polepole alisema haoni tatizo kwenye huo Waraka? sasa aliyeuzusha ni nani?? Serikali ya awamu hii inaendeshwa kwa divai iliyochacha...ni sawa na uende Bar ukilewa unatukana kila mtu, kesho ni kazi ya kuomba msamaha tu na kukana.
Barua imeanza kwa kumkosoa msajili kwamba alielekeza barua kwenye ofisi ambayo sio, ilipaswa iandikwe kwa katibu wa KKKT, hii inamaanisha msajili aliandika barua akiwa ana hangover za mamlaka ya usajili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.