Hahahahahaha! Mimi walifanya hivyo nikawalipa mahari yote then nikawaambia sina mpango wa kumuoa,ila nitamuhudumia mtoto wangu,now imepita miezi 9 tangu ajifungue natoa huduma kwa mtoto kama kawaida,ilibidi mama mkwe aombe radhi kwa waliyoyatenda,nimewajibu nimeshawasamehe ila siwezi kumuoa...
Kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu
Nina umri wa miaka 30
Dini muislamu
Muajiriwa serikalini!
Nina mtoto 1
Makazi mbeya
Sifa za mwanamke ninaye muhitaji
Umri miaka 23-32
Awe muislamu
Elimu kuanzia form six kuendelea.
Rangi yoyote ile
Kama ni single mother basi uwe na mtoto mmoja tu.
Kama hauna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.