Kama kawaida Chelsea yazidi kujikita kileleni baada ya ushindi wa jana 2-1, hazard katika ubora wake kuweka goli zote mbili na goli la kufutia machozi likifungwa na Aguero.
Congratulation #The_blues
Kwani kama umekosa mechi ya Kule anza halaf mechi zingine ukapatia mpaka 8 alaf ukakosa 2 ukapatia 13-15, yaani ninchomaanisha ushindi ukawa sio kufata namba alizoandika haupatii?
Lakini zimefika mechi 10 nilizoshinda.
Inaanza na 3-4-3 (kawaida), tukishambulia inakuwa 2-3-5,
Tukishambuliwa kawaida 4-3-3,
Tukishambuliwa saaana inakuwa 5-4-1, so unapitaje kwa mfano sasa.
Habari ya asubuhi, nauliza M-bet huwa wanaweka matokeo ya perfect 12 baada ya muda gani coz mpaka sasa naona matokeo ya tarehe 22/12/2016 bado ya jana Hamna.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.