Kazi ipo katika comment za wengi zinaegemea sana kwenye ushabiki inategemea uko timu gani badala ya kuliteyea taifa wacha tuone
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Tume huru ndio kilochangu Mimi ninaeshinda kwenye foleni na njaa na Kiu mvua na jua halafu mwisho ninakua si mwenye kutoa maamuzi nani kiongozi wangu maamuzi hutolewa na tume ya uchaguzi kwahiyo tangu wanafungua vituo washajua nani atatangazwa mshindi siowangojee ataeshinda ni nani.
Sent using...
Hakuna afadhali yeyote ,kwani hata kuiba kura pia ni dhulma,tena nibora wametuonyesha mapema ufedhuli wao kuliko tungeenda kupigwa na jua na mvua for nothing.
Inatia ukakasi kwani ninavyomjua mkuu asinge subiri kesho wala kesho kutwa lazima angewatumbua watu waliozembea pale pale kwenye makabidhiano, na kama ni kweli Basi Kenya wametujibu kwa dharau, Tanzania tuchomeeni Vifaranga vyetu na ng'ombe zetu na nyinyi tunawaletea dhabu zenu! Kwakua...
Kama hamjitambui ndio mnawaongezea umaarufu badala ya kuwamaliza, miaka hii balaa kweli kweli naona Mtatoa clip hata za walizoongea na vimada wao mwaka huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.