Ningependa kutoa historia fupi ya kibinafsi
Mwaka 1969: Mimi, Karim Hirji, nilikuwa Mhariri Mkuu wa jarida la wanafunzi wa UDSM
liitwalo CHECHE. Tuliunga mkono siasa ya ujamaa lakini tulisema ukweli kuwa utekelezaji
wake na TANU ilikuwa mbaya sana. Wazee wa TANU walikasirika sana na Jarida letu...
Kuhusu Mau Mau au Maji Maji
Hataa Profesa anaweza kufanya kosa la kitoto.
Kwa haraka niliandika Mau Mau lakini maana yangu ilikuwa Maj Maji.
Na omba msamaha kwa wasomaji wangu kwa kosa hilo.
Kosa kadogo kama hilo haliwezi kupindua logic na ukweli wa makala mzima.
Ni wale ambao hawataki...
na omba msamaha wenu. Haata profesa anaweza kufanya kosa la kitoto. Maana yangu ilikuwa
maji maji lakini kwa haraka niliandika mau mau.
Lakini kosa dogo kimoja kama hilo haliwezi kupindua logic na ukweli wa makala mzima.
Ni wale ambao hawataki kufikiria mambo kwa kiundani ndiyo watayanganganyia...
As the author of the article being discussed, I would like to make a few important corrections and points:
1. There was an unfortunate typographic error; in haste I wrote Mau Mau instead of Maji Maji. I apologize
for this error on my part.
2. The version of my article on this website is an...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.