Kwa matumizi ya baadae na pia kulinda ushahidi, usitoe Metadata kama una piga picture / video za kurekodi matukio yatakayohitaji verification. Picha au video ikiwa kwenye simu yako haina shida, ukituma kwenye social media huwa inaziondoa hizo data so don't worry sana.
Yenye utata kivipi? Wewe kwenye simu yako si nimeleta bei baada ya safari kuisha? Hiyo ndio bei unayotakiwa kulipa. Hapa naongelea bei BAAADA ya safari, sio ile ya mwanzo wakati una request. Sometimes bei bei hubadilika kutokana na foleni etc.
Kama safari umefika mwisho, app huwa inakuletea bei ya hiyo safari. Hiyo ndio nauli unayotakiwa kulipa. Huyo dereva anakuchezea mchezo hapo, si ajabu ni screenshot ya safari nyingine anataka kukupiga.
Sasa mkuu unataka kuwadanganya Akina nani? Watanzania? Chukua elfu 10 kanunue ugali na nyama choma! Kwa sababu tu kitu imeandikwa kiingereza unaona kina maana, hiyo kawadanye wajinga wenzio. Sisi tupo kwa ground na hiyo 10k haifanyi chochote
Seriously? kwamba hawahusiki? Yule dada wa kikokotoo aliyesimamishwa na magu alikuwa wapi? sheria ya bima ya afya kwa wote ilitoka wapi na aliyekuwa ana push ni nani? sheria ya habari na makosa ya mtandao iliyopita kipindi cha Nape ilitoka wapi na aliyekuwa anaipigia chepuo ni nani?
Kwa TZ na nchi nyingi ukiangalia miswada mingi huwa inatoka kwenye idara/taasisi zinazohusika, so TRA wanahusika moja kwa moja kwenye hizi sheria, hawawezi kuwepa hili kwa 100%
Siyo duniani mkuu, hii sana sana inatoka nchi za africa. Nchi nyingi zinazojitambua serikali ikileta muswada usiofaa wabunge wanakataa. Na pia mbunge naruhusiwa kuandika muswada wake na kupeleka bungeni ukajadiliwa na kupitishwa kuwa sheria
Mleta mada upo Tanzania au nchi nyingine? Ni bunge lipi linatunga sheria? Kwenye karatasi ndio bunge inatakiwa kutunga sheria, ila kwa hili la wamu hii hapana. Serikali inapeleka muswada bungeni unapita na kuwa sheria bila hata kubadilishwa nukta. Sasa hapo utasema vipi bunge linatunga sheria...
Watanzania wajinga sana! Sasa wanashangilia nini? Maana kama kumtoa si wao waliomtoa, na pia hajatolewa kwa sababu ya performance yake kuwa mbaya Bali kwa sababu tu ya yeye kutofautiana na wakuu wake. Angepitishwa na kamati bado angekuwa mbunge hata kama wananchi hawamtaki. Tupiganie reforms ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.