Kiwanja nakiuza mil 5( maongezi yapo)
Ukubwa wake ni hatua za miguu 25 upana, 25 urefu.
Kipo Nyashishi nyuma ya Mwabebeya shule ya msingi, documents zilizopo ni karatasi ya serikali ya mtaa Bado hakijapimwa, umeme upo.
Kutoka barabara kubwa mpaka kwenye kiwanja kwa boda boda ni elf 1000...
Wazo zuli, lakini maharage yana aina tofauti tofauti lazima uangalie unataka kuuza maharage ya aina Gani? Na utaka kuuza kwa level ipi?? Jumla au reja reja
Kiwanja nakiuza mil 5( maongezi yapo)
Ukubwa wake ni hatua za miguu 25 upana, 25 urefu
Kipo Nyashishi nyuma ya Mwabebeya shule ya msingi, documents zilizopo ni karatasi ya serikali ya mtaa Bado hakijapimwa, umeme upo,
kutoka barabara kubwa mpk kwenye kiwanja kwa boda boda ni elf 1000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.