Kupata Passport ni kimbembe. Mm nilifatilia huku mkoani kwangu nikaferi afisa mmoja akanimbia tafuta 350 ukija dar nicheki wiki 1 tu unapata. Nikaona ngoja kwanza nitafute nauli
Kwa yoyote anayehusika na kupanga wajaribu kuliangalia hili swala la bei, kwa sasa hivi maeneo ya mwandoya wageni ni wengi, gesti zinajaa maeneo ya vyakula watu wanafanya bishara ukiuliza utaambiwa wamekuja kununua pamba, kwa nini bei isipande ili mkulima apate angalau kifuta jasho??
Sijatembea maeneo mengi ya nchi hii ila kwa yale machache niliyofika Simiyu ni moja wapo, Simiyu ni sehemu ambayo mkulima wa pamba, mahindi, alizeti, choroko,dengu, mbaazi na mtama mwekundu anahitaji msaada mkubwa sana kwenye swala la bei, wakulima hawa wanalima kwa moyo sana ila linapokuja...
Kiwanja nakiuza mil 5( maongezi yapo)
Ukubwa wake ni hatua za miguu 25 upana, 25 urefu.
Kipo Nyashishi nyuma ya Mwabebeya shule ya msingi, documents zilizopo ni karatasi ya serikali ya mtaa Bado hakijapimwa, umeme upo.
Kutoka barabara kubwa mpaka kwenye kiwanja kwa boda boda ni elf 1000...
Wazo zuli, lakini maharage yana aina tofauti tofauti lazima uangalie unataka kuuza maharage ya aina Gani? Na utaka kuuza kwa level ipi?? Jumla au reja reja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.