Recent content by kevoo 27

  1. K

    Plot4Sale Kiwanja Nyashishi, Mwanza

    Kiwanja nakiuza mil 5( maongezi yapo) Ukubwa wake ni hatua za miguu 25 upana, 25 urefu. Kipo Nyashishi nyuma ya Mwabebeya shule ya msingi, documents zilizopo ni karatasi ya serikali ya mtaa Bado hakijapimwa, umeme upo. Kutoka barabara kubwa mpaka kwenye kiwanja kwa boda boda ni elf 1000...
  2. K

    Nahitaji kuanza biashara ya maharage. Mwenye uzoefu wa masoko na changamoto zake anijuze

    Wazo zuli, lakini maharage yana aina tofauti tofauti lazima uangalie unataka kuuza maharage ya aina Gani? Na utaka kuuza kwa level ipi?? Jumla au reja reja
  3. K

    Plot4Sale Nauza kiwanja cha Nyashishi-Mwanza

    Hiyo ni ofa yangu njoo na ofa yako, ndy tutajua kama ni shamba au kiwanja
  4. K

    Plot4Sale Nauza kiwanja cha Nyashishi-Mwanza

    [emoji3167]‍🦯[emoji3167]‍🦯[emoji3167]‍🦯[emoji3167]‍🦯
  5. K

    Plot4Sale Nauza kiwanja cha Nyashishi-Mwanza

    Cha buhongwa siuzi
  6. K

    Plot4Sale Nauza kiwanja cha Nyashishi-Mwanza

    Hiyo barabara niya mtaa imepita mbele ya kiwanja
  7. K

    Plot4Sale Nauza kiwanja cha Nyashishi-Mwanza

    Nimetum picha 3 sijui kwako zimefunguka ngapi
  8. K

    Plot4Sale Nauza kiwanja cha Nyashishi-Mwanza

    Ukiwa serious na biashara inabidi uweje boss???
  9. K

    Plot4Sale Nauza kiwanja cha Nyashishi-Mwanza

    Mara yako ya mwisho kufika mwanza ni lini??
  10. K

    Plot4Sale Nauza kiwanja cha Nyashishi-Mwanza

    Sio mwenyeji sana maeneo yale, mm nilinunua kiwanja na sasa nimeamua kukiuza
  11. K

    Plot4Sale Nauza kiwanja cha Nyashishi-Mwanza

    Nimenunua kingine buhongwa
  12. K

    Plot4Sale Nauza kiwanja cha Nyashishi-Mwanza

    Kiwanja nakiuza mil 5( maongezi yapo) Ukubwa wake ni hatua za miguu 25 upana, 25 urefu Kipo Nyashishi nyuma ya Mwabebeya shule ya msingi, documents zilizopo ni karatasi ya serikali ya mtaa Bado hakijapimwa, umeme upo, kutoka barabara kubwa mpk kwenye kiwanja kwa boda boda ni elf 1000
Back
Top Bottom