WanaJF naombeni msaada wenu, ni sheria gani inayoyataka makampuni yote nchini kuorodhesha share zake DSE..? Ntafurahi zaidi mkinasaidia na possible sections za hiyo sheria. Asanteni.
Tuache ushabiki kwa kuwa tumesoma chuo fulani, ukweli ni kwamba wanafunzi wengi wanaodahiliwa sua ni wenye ufaulu wa division two ama three kwa course zote kwani wanaofaulu vizuri sana kwa masomo ya sayansi huwakuti sua kama ni pcb wenye division one wapo muhimbili na kwingineko wakisoma...
Tuache ushabiki kwa kuwa tumesoma chuo fulani, ukweli ni kwamba wanafunzi wengi wanaodahiliwa sua ni wenye ufaulu wa division two ama three kwa course zote kwani wanaofaulu vizuri sana kwa masomo ya sayansi huwakuti sua kama ni pcb wenye division one wapo muhimbili na kwingineko wakisoma...
Acha kuongopea uma ww.. Huna aibu kusema utouh ni std seven..? Hujui lizungumziwalo, hiyo ni taaluma kubwa sana na si kila mtu anaweza fanya accounting ama auditing..
By perry
I heard watu wanaipa promo BAF ya mzumbe kuliko bcom za udsm.. Tutoe honest answers jamani coz kna watu tutafanya choices kulingana na majibu yenu.. Tusitetee vyuo vyetu.. Swali langu linalenga kujua wepi ni more marketable?
Jamani wana JF nataka kujua ubora wa wahasibu na maauditor kutoka vyuo vyetu vya hapa nchini.. Ni chuo kikuu kipi hapa nchini kinatoa vijana wazuri zaidi kwenye idara hizo jamani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.