Taarifa kutoka nchini Iran zimesema kuwa leo siku ya Alhamisi huenda dunia ikaandika katika historia kwani Iran inaweza kupiga israel kombora lake la sumu ambalo halizuiliki wala kuonekana kwenye rada na linafika Israel ndani ya dk 6 tu
Iran imesema haitalaumiwa kwa lolote
Makao makuu ya Myahudi ya Mossad yameshambuliwa vibaya huku maafisa wakuu wa Mossad wakiuawawa kufuatilia mashambulizi makali ya makombora ya Iran ya ballastic na hypersonic kushambulia leo asubuhi,
Iran iliudanganya mfumo wa ulinzi wa Iran dome na thaad wa Israel na kufanya shambulizi la...
Rais wa Marekani Donald Trump ameitaka Iran irudi haraka kwenye meza ya mazungumzo na kusaini makubaliano ya kusitisha mpango wa nyuklia kabla haijapoteza kila kitu. Rais Trump ameandika hayo kupitia ukurasa wake wa Truth social Taarifa hiyo nmekuekea hapo chini kwenye comments
Trump amesema...
Taarifa kutoka Aljazeera zimesema kuwa waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amekimbia inchi kufuatilia taarifa za kiulinzi alizopewa na Mossad.
Amekimbia nchi huku ikiwa imebanika kuwa ameonekana akipanda ndege ikisadikika amekimbilia marekani, hii imekuja baada ya kuwepo uvumi kuwa leo...
Iran imeamua kujibu mashambulizi ya Israel yaliyofanywa apo jana Alhamisi ambapo Israel itumia ndege zake f-35 kuishambulia Iran na vinu vyake vya nyuklia na kuwaua makamanda wake akiwepo mkuu wa majeshi wa Iran.
Sasa Iran nayo imejibu leo asubuhi kwa kutuma drones 100 za kivita pamoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.