Recent content by kenny mtanashati

  1. kenny mtanashati

    JamiiForums Tanzania Breaking news Israel imeanzisha mashambulizi ya kulipiza kisasi nchini iran mda huu

    Breaking news Israel inaishambulia iran mda huu kama kujibu mashumbulizi ya iran ambapo, chombo Cha habari Cha israel Cha chanel 14 kimelipoti kuwa milipuko ya mabomu imesikika mda huu nchini iran katika jiji la tehran
  2. kenny mtanashati

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania NIMEMPENDA JIRANI YANGU NIFANYAJE

    Wadau Kuna pisi moja Kali sana aisee demu mzuri kinoma tunaishi nae nyumba moja ya kupanga apa DSM yeye anafanya kazi dukani kariakoo ni mzuri kinoma sina maeozea nae sana zaidi ya salama ila nimempenda awe mpenzi wangu mbaya zaidi Mimi nimeacha kutongoza mda mrefu maana mademu siku hizi...
  3. kenny mtanashati

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo nimechelewa kumaliza , nilikunywa pombe demu nikamliza

    Nomaa🤣🤣
  4. kenny mtanashati

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo nimechelewa kumaliza , nilikunywa pombe demu nikamliza

    Leo nilikunywa pombe sana napenda sna kunywa Kilimanjaro hau safari sasa Kuna demu mmoja jirani nikamtia sound akajaa aisee sio poa Leo nimejikuta na nguvu sio poa bao la kwanza nimelitoa dakika 40 aisee demu alikuwa anapiga kelele Ngoma imesimama sio poa nimepiga vitatu vya kuunganisha Hadi...
  5. kenny mtanashati

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nomaa Sanaa
  6. kenny mtanashati

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa ni upuuzi: Mke wa mtu anasema ananipenda Sana

    Nomaaa
  7. kenny mtanashati

    JamiiForums Tanzania Iran imetangaza hali ya hatari kwa wananchi wa Israel, huenda ikapiga bomu la hatari duniani

    Taarifa kutoka nchini Iran zimesema kuwa leo siku ya Alhamisi huenda dunia ikaandika katika historia kwani Iran inaweza kupiga israel kombora lake la sumu ambalo halizuiliki wala kuonekana kwenye rada na linafika Israel ndani ya dk 6 tu Iran imesema haitalaumiwa kwa lolote
  8. kenny mtanashati

    JamiiForums Tanzania Iran yashambulia makao makuu (HQ) ya Mossad leo asubuhi huko Tel Aviv

    iran ameanza kupiga kwenye mshono
  9. kenny mtanashati

    JamiiForums Tanzania Iran yashambulia makao makuu (HQ) ya Mossad leo asubuhi huko Tel Aviv

    Makao makuu ya Myahudi ya Mossad yameshambuliwa vibaya huku maafisa wakuu wa Mossad wakiuawawa kufuatilia mashambulizi makali ya makombora ya Iran ya ballastic na hypersonic kushambulia leo asubuhi, Iran iliudanganya mfumo wa ulinzi wa Iran dome na thaad wa Israel na kufanya shambulizi la...
  10. kenny mtanashati

    JamiiForums Tanzania Iran yakubali kusalimu amri, kuufuata ushauri wa Donald Trump rais wa Marekani

    Rais wa Marekani Donald Trump ameitaka Iran irudi haraka kwenye meza ya mazungumzo na kusaini makubaliano ya kusitisha mpango wa nyuklia kabla haijapoteza kila kitu. Rais Trump ameandika hayo kupitia ukurasa wake wa Truth social Taarifa hiyo nmekuekea hapo chini kwenye comments Trump amesema...
  11. kenny mtanashati

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Netanyahu kakimbia Nchi kuokoa kiwiliwili chake

    Taarifa kutoka Aljazeera zimesema kuwa waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amekimbia inchi kufuatilia taarifa za kiulinzi alizopewa na Mossad. Amekimbia nchi huku ikiwa imebanika kuwa ameonekana akipanda ndege ikisadikika amekimbilia marekani, hii imekuja baada ya kuwepo uvumi kuwa leo...
  12. kenny mtanashati

    JamiiForums Tanzania Iran yaanza kujibu mashambulizi yarusha mamia ya drones kuelekekea Israel

    Iran imeamua kujibu mashambulizi ya Israel yaliyofanywa apo jana Alhamisi ambapo Israel itumia ndege zake f-35 kuishambulia Iran na vinu vyake vya nyuklia na kuwaua makamanda wake akiwepo mkuu wa majeshi wa Iran. Sasa Iran nayo imejibu leo asubuhi kwa kutuma drones 100 za kivita pamoja...
  13. kenny mtanashati

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu binti ni mzuri mno ila ni rafiki yangu wa karibu sana

    [emoji120][emoji120][emoji120]
  14. kenny mtanashati

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu binti ni mzuri mno ila ni rafiki yangu wa karibu sana

    [emoji120][emoji120]
  15. kenny mtanashati

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu binti ni mzuri mno ila ni rafiki yangu wa karibu sana

    [emoji40][emoji40][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Back
Top Bottom