Recent content by KENNY JEEZY

  1. KENNY JEEZY

    Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

    Nipo Arusha Hisense 43" FHD @ 630,000 Hisense 43" FHD Smart @ 690,000 Hisense 43" 4K Smart @ 725,000 Unapata na warranty ya maandiashi Contact 0756501830
  2. KENNY JEEZY

    TECH: Kuna mtu niliwahi kumtumia picha ya ku-view once cha ajabu akanifowardia hiyo picha

    Kwenye simu za Xiaomi kuna feature inaitwa taplus, inakuwezesha kusave picture kutokea sehemu yoyote. Angalia hiyo screen record hapa
  3. KENNY JEEZY

    Hili Gari Ni Peogeut 404 Miaka ya 1964/69 Lilikua Likiuzwa Tsh.3000/=

    Uzi wako hauja zingatia viwango vya mfumuko wa bei na thamani ya fedha yetu kwa kipindi hicho. Imagine Mwaka 1968 Gavana wa Benki kuu pamoja na mwalimu walikua wanapokea mshahara wa 5000/=
  4. KENNY JEEZY

    Wakazi wa Arusha: Naomba kujuzwa yalipo Maduka ya Laptop

    Ukiacha hawa waliotajwa hapo juu wacheck Widodo Computers kwa PC used, wapo Stand kubwa karibu na Amana Bank, watafute Instagram kwa maelezo zaidi
  5. KENNY JEEZY

    Xiaomi 14 na Xiaomi 14 Pro: Mchina anaendelea kuleta competition

    Ukiona hvyo ujue wana soko kubwa sana la ndani, kumbuka population ya China ni 1.4 Billion
  6. KENNY JEEZY

    Kwa bajeti ya Tsh. 300,000/- naweza kununua simu gani nzuri mpya au used?

    Hass Tech pia ni 269,000. Huyu jamaa kwenye Xiaomi ana bei za kizalendo sana
  7. KENNY JEEZY

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Hazina tofauti kubwa sana. Utofauti upo kwenye faster charger RN11P ina 67w. Na refresh rate 120Hz. Kama bei zinakaribiana chukua RN11P
  8. KENNY JEEZY

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Wanauza ghali. Ninayo mpya 64GB @ 310,000 Kama upo Arusha au una mtu Arusha
  9. KENNY JEEZY

    Tukiachana na Flagship phones, nipe ushauri wa Mid range smartphones ukitoa Tecno na Infinix!

    Kwa 300,000 brand new nyingi hazina camera nzuri. Labda utafute flagship za miaka ya nyuma
  10. KENNY JEEZY

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    11R ni Chinese version inamiss band chache za 4g na kwa kuzingatia kuwa maeneo mengi tz hamna 5g. Chukua RN11 global ina band zote muhimu za 4g
  11. KENNY JEEZY

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Ambayo hamna frame inahitaji utaaalamu na umakani mkubwa sana kuiweka, kwa hawa mafundi wetu bora uchukue yenye frame
Back
Top Bottom