Recent content by kengele maziwa

  1. kengele maziwa

    Kwa mara nyingine tena nakubaliana na watanganyika wengi kuwa hatuna Jeshi la Wananchi

    Kwani yale ni maandamano au uhalifu na uporaji ulikuwa, na kama maandamano lengo liikuwa ni nini?
  2. kengele maziwa

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    PSG 3 - ARS 2 Aggregate 4-2 Arsenal out
  3. kengele maziwa

    Umeshawahi kupitia situation gani ukasema hii ni habari njema ya kusikitisha?

    Kuna mabalaa unaona hapa Mungu amekuepusha nayo kabisa
  4. kengele maziwa

    Umeshawahi kupitia situation gani ukasema hii ni habari njema ya kusikitisha?

    Ni kweli kuna matukio unakutana nayo kwa uwezo wako huwezi kuyamudu kwa kipindi hicho Mungu anaingilia kati, hapo ndio unaona ukuu wake.
  5. kengele maziwa

    Umeshawahi kupitia situation gani ukasema hii ni habari njema ya kusikitisha?

    Weekend ndio hivyo imeshafika wandugu wa jukwaa hili habari zenu nyote. kama tittle inavyosema umeshawahi kukutana na situation gani ukasema hii ni HABARI NJEMA YA KUSIKITISHA . Miaka flani muda kidogo nilishawahi kuwa na mpenzi ambaye akapata mimba japo sikuihitajia kwa kipindi kile...
  6. kengele maziwa

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Jana tumecheza vizuri tumeweza kupata clean sheet na magoli matatu, changamoto ya sisi mashabiki kuona timu inapata matokeo na kuona wachezaji wetu wanafanya vizuri. Ila kiuhalisia jamaa wamecheza jumamosi na forest, then jumanne na Ac Milan jana na Bournemouth so hao jamaa wanachoka na...
  7. kengele maziwa

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kaka sasa hivi tunayataka yote hatujui kocha ajae atakuja na sera ipi wacha tumuage klopp vizuri
  8. kengele maziwa

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    New structure in progress
  9. kengele maziwa

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom