Kubet kumefanya vijana kuhisi MAFANIKIO ni kitu cha ghafla kama chafya vile, kijana akiaangalia mkeka unasoma 5 million kama ukitiki sasa anaanzaje kutafuta kazi na kazi tayari yupo nayo.
Ila kwa namna nyingine vijana nao hawaitumii nafasi nzuri ya kubet kujiendeleza kwa kufanya deep analysis...
Natanguliza shukran zangu za dhati nimeanza kufanya usajili brela ila nimekwama kupata sample nzuri ambayo itafiti kwenye memorandum ya biashara ya hardware.
Nimejaribu kugoogle ili niokoe muda na kuweza kuedit kidogo tu, but imekuwa ngumu kidogo.
Hivyo msaada wenu wakuu kwenye hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.