Recent content by Kengedume

  1. K

    SUMATRA: Marufuku abiria kuzungumza siasa, dini, biashara ndani ya basi!

    Hiiii! Bado kidogo watapiga marufuku kuongea kilugha ukiwa kwenye usafiri umma.
  2. K

    Watanzania tunamsifia Magufuli kwa kuvamia maofisini?

    Mpumbavu, lofa, jinga sana wewe mshenzi mkubwa wewe! Mwambie Lowasa afanye yeye labda mkundu wako utafurahi!
  3. K

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Kwanini hakuna clouds tv kwenye king'amuzi cha antena kwa mkoa wa Mwanza wakati Dar es salaam inapatikana acheni ubaguzi wa namna hiyo!?
  4. K

    List of Shame: Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi Tanzania

    Lowasa ati amechoka kusikia na kuitwa fisadi, anataka anayemwita fisadi mla rushwa ajitokeze hadharani na atoe ushahidi!!! Mimi simwelewi huyu jamaa, au anmaanisha ni kwa wana ccm tu? Dk. Slaa alishajitokeza hadharani na alibaki kimya. Mvi za huyu mzee zimeathiri mpaka ubongo wake eti hakumbuki.
  5. K

    Mwandosya, Wassira, Lowassa, Amina na Makongoro Kuchukua fomu kesho

    Marekani na umoja wa nchi za ulaya wamesema, wataandamana kupinga na hawatatoa misaada tena endapo ccm watamsimamisha kama mgombea wa uraisi JMT
  6. K

    Yaliyojiri Ukumbi wa Hyatt Regency: Frederick Sumaye atangaza nia kugombea Urais

    Hata mkoani kwetu hmn mimi niko kanda ya ziwa!
  7. K

    Samweli John Sitta: Sioni mgombea wa urais wa kupambana na ufisadi mpaka sasa

    Je Lowasa alisema nini au anasemaje juu ya katiba Inayopendekezwa, acheni ujuha na ushabiki wa kijinga! Huo ulikuwa msimamo wa chama na si wa samwli sita.
  8. K

    Samweli John Sitta: Sioni mgombea wa urais wa kupambana na ufisadi mpaka sasa

    Na muunga mkono, anauwezo wa kukemea rushwa, yes ktk wote hata mimi sioni.
  9. K

    Samweli John Sitta: Sioni mgombea wa urais wa kupambana na ufisadi mpaka sasa

    Baada ya kuwasirisha mapato na matumizi ya wizara yake, Waziri wa uchukuzi Mh. Samweli Sita, Kasema kwa jinsi anavyopambana na ufisadi tangu TANU mpaka sasa, haoni mtu mzalendo mwenye kuweza kupambana na tatizo la Rushwa na ufisadi miongoni mwa wanaotaka kuwania Uraisi haoni mtu mwenye kuweza...
Back
Top Bottom