atasaidiwa na law of limitation kwamba mtu akikaa ktk ardhi kwa zaidi ya miaka 12 na majirani wakahisi ni ardhi yake baada ya kuonekana akiifanyia usafi,kulima nk bila kulalamikiwa au kubuguziwa na mtu tayari atahesabiwa ni ardhi yake. na pia kama ana documents nashahidi awe na amani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.