Recent content by Kenerugaba

  1. K

    JamiiForums Tanzania Wadau na wanasheria naomba mnisaidie jambo hili kisheria

    atasaidiwa na law of limitation kwamba mtu akikaa ktk ardhi kwa zaidi ya miaka 12 na majirani wakahisi ni ardhi yake baada ya kuonekana akiifanyia usafi,kulima nk bila kulalamikiwa au kubuguziwa na mtu tayari atahesabiwa ni ardhi yake. na pia kama ana documents nashahidi awe na amani
  2. K

    JamiiForums Tanzania Majambazi wavamia NMB Mkuranga, Waua Polisi

    mbona mleta taarifa haeleweki? wamekufa askari wetu wangapi? na tukio lilikuwaje? R.I.P
  3. K

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe ahutubia Kabirizi Kigoma, leo Tarehe 17/5/2015

    asiposhinda mnitafute.zitto jembe bwana achana naye
  4. K

    JamiiForums Tanzania Hongereni CHADEMA Kwa Kuwang'oa Wasaliti

    ngoja tuone SACCOS vs KAMPUNI.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Mh. Tundu Lissu katika kashfa ya Matumizi mabaya ya Pesa za mfuko wa jimbo

    Angesemwa zitto aaa tayari lkn..........
Back
Top Bottom