Fanya maamuzi ukiwa umetulia,sio busara ukifanya maamuzi ukiwa kwenye shinikizo(under pressure)..unapswa kusubiri kwa muda ili umjue kwa muda huyo biharusi mpya,shinikzo la kutopata msaada kwake limekukwaza,kwa hyo tulia na ........uachane naye tu huyo asiye na...
na pia wana-michepuko mingi, wanajua kuwachenga njia kuu wasijue,hata wafanye ushenzi vipi hawezi kusahau kuhudumia familia.. ni hayo tu kuhusu mwanaume mwenye cha pili na cha nne vinavyo lingana.
toa kitu upate kitu,wewe unanunua gari mwingine anaweka mafuta,na service anafanya mwingine,unanunua simu mwingine ananunua voucher,unampangia nyumba mwingine ananunua fenicha,....na huo wote ni mgawanyo wa majukumu.kazana kutafuta hela uweze kumiliki watoto wazuri.
hao ni matapel i wa kimtandao,samahan ilakini unaonekana ni mgeni wa kimtandao haya mambo yapo kwenye mitandao ya kijamii, kuna rafiki yangu aliwahi tuma ac.no wakaiba hela zote na ac ikawa blocked,we mwelekeze ukweli kama wewe umeshtuka kama yeye ni tapeli uone kama...
Malezi tu ...mbona watoto wa kwanza huwa wanadeka pia kwasababu wazazi wanakuwa na hamu na mtoto,japokuwa familia zingine wanabadilika ,familia zingine hakuna mabadiliko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.