Recent content by kemondaro 57

  1. K

    Laptop gani inanifaa kwa laki nane

    Thanks a lot bro, sometimes huwa tunadhani haya mambo ni generation hii, but inafika time mambo yako yanakwama. Then inatubidi usimame kupambana that's my story, nimelazimishwa na wakati no way out[emoji106][emoji106]
  2. K

    Laptop gani inanifaa kwa laki nane

    Itakuwa browsing na typing a lot. Hii itakuwa ni side hustle nikiwa nyumbani after work.Right now Kuna kazi nafanya Ila I'm intending to go my way.
  3. K

    Laptop gani inanifaa kwa laki nane

    CHIEF MKWAWA na manju wengine wa IT naombeni ushauri wenu. Kwa budget isiyozidi 800k laptop gani itanifaa.
  4. K

    CEO wa Simba, Barbara Gonzalez hataki kufananishwa na Ndugu Senzo Mbatha

    Trh 30 June CAF wanataka majina. ya timu na wachezaji, hapo ndio kitaeleweka kati ya Kulwa na Doto yupi yupo serious.Maana hizi drama zimetuchosha,
  5. K

    Je, wajua Wazaliwa wa Pwani huwaona wazaliwa wa Bara kama washamba tu?

    Sema, andika, kejeli,dharau ila sisi wa Bara "we call the tune"[emoji444][emoji444][emoji445]mtatupisha huku mjini, asikwambie mtu [emoji765][emoji765]ndo kila kitu.Big up Wakinga, Wachaga etc wanatuwakilisha vyema huko mjini kwenu.Mnauza site[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23] wenyewe bila...
  6. K

    Wanaotoka sare kizembe na timu mbovu kama Biashara United Hawawezi michuano ya Kimataifa , Subirini Aibu

    Kuna timu kusini ya jangwa la Sahara hairogi!! Msimu uliopita Kuna clip ilikuwa inawaonyesha Kaizer walivyokuwa wanachimbia na kumwaga ulozi kule kwao.Vile tu haikwenda viral ila ukweli ndio huo.Simba tatizo wao walifanya wazi, Kuna clip moja Pondamali alikuwa anahojiwa kuhusu kuroga itafute...
  7. K

    Kutoka kwa legend Edo Kumwembe

    Iwe kaandika Edo au mwingine takwimu haziongopi.
  8. K

    Ushirikina umeanza uwanja wa CCM Kirumba Mwanza, Makomandoo Simba na Yanga waumizana

    Tafuteni clip za Juma Pondamali ndio mtajua kama kweli Yanga hawarogi.Kinachowatofautisha ni platform za kufanyia huo upuuzi.
  9. K

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji625][emoji625][emoji625]duhhhhhhh
  10. K

    Panga la wachezaji Simba linanukia mwishoni mwa msimu huu, kuna majina makubwa

    Huyu wakuitwa Bwalya aende tu!! Anaikaba team ninaunga mkono hoja yako bro[emoji120][emoji120]
  11. K

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ehhhhhhh!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Utajua hujui, chezea betting wewe[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  12. K

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
  13. K

    Prime Chuji Vs Prime Feitoto: Unamchagua nani kwenye kikosi chako?

    Usifananishe Chuji na vitu vya kijinga.Kwangu mie Chuji ni moja kati ya viungo bora kabisa kuwahi kutokea katika ligi kuu ya TZ. Alikuwa full package mwamba yule.
  14. K

    Simba hili kundi tutachukua points kwa nani?

    Bro, kwa ubora wa kikosi chetu kwa sasa nina wasiwasi.Kingekuwa kile cha mwaka jana yes, Yote kwa yote tuone performance ya mechi ya kwanza ndo tutapata majibu.Ila angalizo lako la hao wengine (UTOPOLO) naomba lizingatiwe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Back
Top Bottom