Thanks a lot bro, sometimes huwa tunadhani haya mambo ni generation hii, but inafika time mambo yako yanakwama. Then inatubidi usimame kupambana that's my story, nimelazimishwa na wakati no way out[emoji106][emoji106]
Sema, andika, kejeli,dharau ila sisi wa Bara "we call the tune"[emoji444][emoji444][emoji445]mtatupisha huku mjini, asikwambie mtu [emoji765][emoji765]ndo kila kitu.Big up Wakinga, Wachaga etc wanatuwakilisha vyema huko mjini kwenu.Mnauza site[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23] wenyewe bila...
Kuna timu kusini ya jangwa la Sahara hairogi!! Msimu uliopita Kuna clip ilikuwa inawaonyesha Kaizer walivyokuwa wanachimbia na kumwaga ulozi kule kwao.Vile tu haikwenda viral ila ukweli ndio huo.Simba tatizo wao walifanya wazi, Kuna clip moja Pondamali alikuwa anahojiwa kuhusu kuroga itafute...
Usifananishe Chuji na vitu vya kijinga.Kwangu mie Chuji ni moja kati ya viungo bora kabisa kuwahi kutokea katika ligi kuu ya TZ. Alikuwa full package mwamba yule.
Bro, kwa ubora wa kikosi chetu kwa sasa nina wasiwasi.Kingekuwa kile cha mwaka jana yes, Yote kwa yote
tuone performance ya mechi ya kwanza ndo tutapata majibu.Ila angalizo lako la hao wengine (UTOPOLO) naomba lizingatiwe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.