Recent content by kelvinmpinga

  1. kelvinmpinga

    Sintokaa nitumie huduma za kibenki tena. Rasmi narejea kwenye miamala ya simu

    Hahah matajiri ndo walikuwa wanafanya hizo business sahiv dola ni msala kuzipata hovyo
  2. kelvinmpinga

    Sintokaa nitumie huduma za kibenki tena. Rasmi narejea kwenye miamala ya simu

    Sasa utapeli gani we kenge sasa kama mtu analalamika makato makubwa ya benki si akae na hela zake ndani ili asikatwe makato
  3. kelvinmpinga

    Ni vitu gani kiongozi afanye ili aheshimiwe?

    Sikupingi kiongozi
  4. kelvinmpinga

    Ni vitu gani kiongozi afanye ili aheshimiwe?

    Aache mboyoyo nyingi afanye utekelezaji na kutatua kero za wannchi
  5. kelvinmpinga

    SoC04 Tanzania tuitakayo:Maono ya kibunifu kwa uchumi endelevu wa tanzania na fursa kwa vijana

    Tanzania ya baadaye inaangazia mwelekeo wa uchumi endelevu unaoweka msisitizo mkubwa katika kuleta fursa za ajira na ujasiriamali kwa vijana. Kupitia mipango ya kibunifu na utekelezaji wa sera makini, tunalenga kujenga uchumi imara ambao unawanufaisha wananchi wote, hususan vijana. Hapa ni maono...
  6. kelvinmpinga

    TANZIA Mtanzania Abraham Mgowano aliyeajiriwa na Google afariki dunia kwa kuanguka kwenye Boti na kuzama

    Dah sema hao wazungu huwaga wana wivu mtu mweusi akiwazidi uwezo labda ndo sababu wameamua apite hivi
  7. kelvinmpinga

    Ufugaji wa kuku wa kienyeji ni jambo linalowezekana

    Sasa utazimia na nin ungekuta watu hawafugi hawa kuku unaokula wanatokaga wapi acha fikra za kivivu
  8. kelvinmpinga

    Ufugaji wa kuku wa kienyeji ni jambo linalowezekana

    Tatizo mnapenda kila kitu kukatishaga watu tamaa yan kijinga kuku wana faida kama huwezi kufuga waachie wenzako wafuge
Back
Top Bottom