Hongera kwa hatua uliyofikia. Mimi pia nilichoma account mbili toka nianze kufanya forex november 2017 jumla 350$ sababu huwa ni zilezile kwa watu wote kwa kuvunja kanuni za forex, na hii inatokana na kutamani kupiga pesa ndefu upate faida mara mbili au tatu ya mtaji. Toka hapo nikasoma tena...
Powerful thread! Thanks alot. Huwa natabasamu tu ninapoona mtu hatambui mchango wako katika fursa adhimu zote ulizotuletea. Huwa najilaumu kidogo kuchelewa kukufuatilia. Huwezi amini leo hii sina mpango kabisa wa kuajiliwa tangu nilipoanza kuadapt fursa ulizotufungua. Usikate tamaa matunda ya...
Niko Dodoma karibu na chuo nataka kufungua saloon ya kike na msimamizi mzuri nitamleta. Nataka nipate uzoefu kwa waliofanya hii biashara ya saloon ukilinganisha na duka la cosmetics mauzo yake kwa siku.
Natanguliza shukrani..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.