Hivi ww kwa akiri ako umeona huo ni mtihani? Kweli ...alie andika jina na kusahihisha ni mtu mmoja mbaya zaidi hicho ki blog ndo kinatafuta umarufu ....kweli vijana tuna angamia kwa kukosa maarifa
Habarini...hivi inakuwaje umekubariana na,dem wako kwenda kula bata mkakubaliana mkutane labda bar fulani au hotel fulani...unafika pale yeye kaja na marafiki zake watatu eti wamemsindikiza so gharama zote zinakuhusu....mbaya zaidi ww ulichelewa ukamwambia agiza kinywaji na kaagiza pamoja na...
Mm siwezi msemea mtu na sio komedi huo ndo ukweli....kk mwenyewe hata miezi 5 haijafka ni miez 2 tu tangu waanze...baada ya kuanza relationship na kk alikaa kidg akaondoka kumbuka huku sio kwao amekuja kurud wiki moja baadaye kk anaondoka ndo hadi leo
Tupo wa tatu kwetu bro ndo wakwanza wapili mm watatu dg yupo form one...nw nyumbani tupo watatu mm...mama..na sster wa kazi......kumbuka tangu waanze mahusiano na kk hata miez 5 haija fika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.