Nahitaji kujiunga na masomo ivo nimeuliza ipi ni fani nzuri kati ya law na MD kwa maslahi mapana ya kiutafutaji aidha kwa kujiajili na kuajiliwa?
Ushauri wenu n mhimu sana kabla dirisha la udahili halijafungiluwa ili nijue nn naenda kujikita nacho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.