Hata kama umemzid kupgana si kwa style ile. Jaman hata kama angeonyeshwa slaha ya moto ukamzdi ukamnyanganya haimaansh upge risasi umuue!! Sidhan kuna hukum ya namna ile.
Pamoja na hayo hebu tufirie kwa ambao labda pengine alifaulu lakn kwa sababu ya ukosefu wa ada hakuweza kuendelea na wenye uwezo wakalitumia hiyo mbaya lakn kama mtu aliacha kwa sababu zake na mtu akalitumia ni upenyo kwa aliye tumia jna hlo. Mbaya nikutumia cheti cha mtu au ufaulu wa mtu.
Sasa kama mkuu wa mkoa amekiri nidham ni mbovu kwa shule hyo walimu wafanyeje ili nidham iwepo!? Ndugu zangu tuangalie shule za seminaries. Tujifunze kwao wao wanafanya nn wanafunzi wanafaulu na kwann wanakua na nidham!?
Sidhan kama mtoto kama ananidham nyumban shulen akawa mtukutu walio wengi huwa tabia mbaya huanzia nyumban anakua jeuri. Hebu tufikirie pia vijana wanamaisha gan kwa upande wa nyumban.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.