Kumekuwa na mijadala mingi kuhusu suala la "Wakati gani wa Mwanaume kuoa". Wengi wameenda mbali zaidi na kusema, "Suala la mwanaume kuoa sio umri, bali ni kipato na uwezo wa kuilea familia"
Swali: Mwanaume huyo atagundua vipi kuwa kipato chake alichonacho sasa kinamwezesha yeye kuoa?? Ni kipato...
Atleast hata wewe mkuu, umenieleza. Nimeleta topic ili nipate ushauri, sio kupondwa. Hata kama nimekosea natakiwa kuelezwa kwenye namna ambayo inasaidia kwasababu hii ni ishu ya kihisia. Kwa mtu mwenye uelewa ataona kabsa hapo ni namna gan hisia zimeizidi akili. So, nishauriwe namna ya kupambana...
Hapana, sio kwamba naendekeza mapenzi kazini. Ila huwa inatokea, baada ya huduma najarbu kuongea nae kuhusu mahusiano yetu. (Kumbuka tu, hata kuonana kwetu ni kwa nadra. Kwahyo natumiaga hiyo chance pia)
Nina Girlfriend wangu, nampenda sana. Naye ananipenda sana (kwa mujibu wa anavyodai). Nimeshakutana naye kimapenzi zaidi ya mara 2. Huwa najitahd kumfanyia kila kizuri
Ofisi yangu inapatikana karibu na nyumbani kwao, ila kinachonishangaza, huwa haji kama Girlfriend wangu, anakuja kama mteja...
Habari zenu wana jamvi, naomba tusaidiane.
Nina TV aina ya Sundar (sio Smart). Ina-support Flash driver na ina-load subtitle vizuri kwenye video. Tatizo linapokuja ni kwamba, siwezi kuongeza FONT ya subtitle. Kwenye User Manual kumeeleza kila kitu, kasoro namna ya kukuza Subtitle tu.
Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.